Je ni kweli Rais wa Nigeria, Buhari alishafariki toka 2017

Je ni kweli Rais wa Nigeria, Buhari alishafariki toka 2017

picha ya kwanza imegeuzwa tu... angalia na mkono wenye saa nao pia umegeuka... kama ulivyogeuka mkono wenye peni... so hapo ni kama picha iliyopigwa kwenye kioo na iliyopigwa kawaida.... sasa hizo nyingine labda tuwaulize ndugu wa buhari... wao ndio wenye kujua zaidi
 
Jana katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana na habari hii huko nchini naijeria ukiachana na kile kinachondelea huko maandamano ya wananchi na SARS yao.

kuna habari nyingine nlikutana nazo zimhusuzo muhammadu buhari raisi wa nchi ya naijeria inayoeleza kwamba alishakufa mwaka 2017 nafasi yake kuchukuliwa na buhari feki toka SUDAN

JE KUNA UKWELI JUU YA HILI

WAJUVI WA MAMBO naomba mtujuze hapa


View attachment 1608027View attachment 1608029View attachment 1608030View attachment 1608032View attachment 1608033View attachment 1608034View attachment 1608035View attachment 1608036
Si uende Nigeria ukaulize hasa watu wa usalama labda ndo wanajua,sasa sisi huku tutakujibu nini? Aisee
 
Unachohisi ni uhalisia siyo uhalisia,na unachodhani si halisi ndicho hasa halisi.Kuna mambo kwa akili yako ya kawaida unafikiri hayawezekami lkn yanatokea,yanafanyika na yanawezekana ktk dunia hii.
Wew Buhari wa kabla ya 2017 ulishawahi kuwa naye karibu,huyu wa sasaivi pia una ukaribu naye ili uweze kujiridhisha kuwa unawafahamu kwa karibu na hivyo habari ni feki au ni editing.
Kuna mambo ktk dunia hii yanafanyika ktk hali yaekushangaza kabisay.
Kuna mambo yanafanyika kwa akili ya kawaida unatafsiri waliofanya wamekosea au wanefanya kwa makusudi.Lkn kumbe yalipangwa yatokee hivyo kimakosa na yaonekane wamekosea,au makusudi yenyewe ilipangwa kwa makusudi ionekane ni makusudi. Hapo kuna lengo.
point mkuu
 
Unachohisi ni uhalisia siyo uhalisia,na unachodhani si halisi ndicho hasa halisi.Kuna mambo kwa akili yako ya kawaida unafikiri hayawezekami lkn yanatokea,yanafanyika na yanawezekana ktk dunia hii.
Wew Buhari wa kabla ya 2017 ulishawahi kuwa naye karibu,huyu wa sasaivi pia una ukaribu naye ili uweze kujiridhisha kuwa unawafahamu kwa karibu na hivyo habari ni feki au ni editing.
Kuna mambo ktk dunia hii yanafanyika ktk hali yaekushangaza kabisay.
Kuna mambo yanafanyika kwa akili ya kawaida unatafsiri waliofanya wamekosea au wanefanya kwa makusudi.Lkn kumbe yalipangwa yatokee hivyo kimakosa na yaonekane wamekosea,au makusudi yenyewe ilipangwa kwa makusudi ionekane ni makusudi. Hapo kuna lengo.
Human by nature are pattern seeking animals. Even in areas where there are no patterns.
Binadamu kwa asili huwa tunapenda kuhusianisha na kuunganisha vitu hata pale ambapo hakuna ukaribu. Dots nyingine huwa tunajitengenezea tu ili tuconect ili zitengeneza maana.
Mimi sijui kama Buhari ni mwenyewe au sio. Na wala sina maslahi na uwepo wake wala kutokuwepo kwake. nimezungumza probability tu. Zaidi sana nimejaribu tu kutoa hoja kwamba buhari hata akiwa amekufa chama chake hakikuwa na sababu yoyote ya msingi ya kuleta mtu mwingine kumuact, na kuhatarisha usalama wa nchi. Kwa matarajio yapi?
 
Na kwa tamaa ya madaraka tuliyonayo waafrika , hakuna deputy ambaye anaweza kukubali kuongozwa na mtu fake kutoka nchi nyingine.
Marais wengi tu Afrika wamekufa madarakani na kukawa na smooth transition of power. Tena wengine waliuawa. Na bado nchi zikapata kiongozi mpya zikaendelea.
Mfano,
Rais
Omar Bongo-Gabon
Michael Sata -Zambia
Meres Zenawi-Ethiopia
Lansana conte guinea
Joao Vieira- Guinea Bissau
Umaru Yaradua-Nigeria
Bingu wa Mutharika-Malawi
John attas Mills -Ghana
Na Pierre Nkurunziza -Burundi.
Wako wengi tu wakina Gadaffi Karume na laurent Kabila.
Mchezo wa kuficha sio wa waafrika. Kwanza akifa kiongozi , wa chini yake ndio wanafurahi sasa ni zamu yao kutawala. Inawezekanaje Nigeria?
 
Back
Top Bottom