Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kuna ujumbe wa picha ya Raisi Samia na chini kukiwa na hayo maneno unasambaa kwenye ma-group ya WhatsApp ukionyesha kuwa Raisi Samia ametoa hiyo kauli.
Je, ni kweli Raisi Samia katoa hiyo kauli?
Kama ni kweli, kauli hiyo kaitoa lini na wapi?
Kama ni kweli, mimi naona itakuwa poa tu ili siku watanzania mkiambiwa kupigania haki zenu, basi muone umuhimu wa kufanya hivyo,
Je, ni kweli Raisi Samia katoa hiyo kauli?
Kama ni kweli, kauli hiyo kaitoa lini na wapi?
Kama ni kweli, mimi naona itakuwa poa tu ili siku watanzania mkiambiwa kupigania haki zenu, basi muone umuhimu wa kufanya hivyo,
