Kwa mujibu wa Takwimu kutoka NBS, Tanzania katika kipindi cha mwaka 2022 ilifanya vizuri zaidi katika sekta mbalimbali zenye mchango wa moja kwa moja katika maisha ya wananchi na pia katika pato la Taifa.
Katika Sekta ya Utalii, kati ya Jan - Oct 2022, Watalii 1,175,697 waliingia nchini ikiwa ni ongezeko la 64% ukilinganisha na idadi ya watalii 716,741 kwa mwaka 2021.
Jitihada nyingi zimefanywa na serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ikiwa ni pamoja na kuendesha program ya Royal Tour kote Duniani kutangaza vivutio vya utalii, kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya Tanzania na Mataifa mengine na zaidi kuimarishwa kwa hali ya kisiasa na mifumo ya utoaji haki.
Asante Rais wetu kwa kutekeleza ahadi zako.
Katika Sekta ya Utalii, kati ya Jan - Oct 2022, Watalii 1,175,697 waliingia nchini ikiwa ni ongezeko la 64% ukilinganisha na idadi ya watalii 716,741 kwa mwaka 2021.
Jitihada nyingi zimefanywa na serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ikiwa ni pamoja na kuendesha program ya Royal Tour kote Duniani kutangaza vivutio vya utalii, kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya Tanzania na Mataifa mengine na zaidi kuimarishwa kwa hali ya kisiasa na mifumo ya utoaji haki.
Asante Rais wetu kwa kutekeleza ahadi zako.