Je, ni kweli Royal Tour imesaidia kukuza utalii?

Je, ni kweli Royal Tour imesaidia kukuza utalii?

Kipimo cha kujua imeleta tija kuna vitu vingi vya kuzingatia ila niatkisema nilichokiona mimi,kwa uolpande wangu naona imeleta tija tunaona takwimu za wageni kuja Tanzania zimeongezeka , kuiweka Tanzania kwenye ramani ya duinia na kuongelewa mara nyingi imewezekana Royal tour imeleta tija
Sisi tunaoishi sehemu za mapito ya utalii hatuini tofauti na wakati kabla ya corona.
 
Watu kama nyinyi huwa hamkosekani lakini utaliii ulishuka sana watu ni kama walisahau tena kama Tanzania kuna vivutio vizuri vya utalii ndio manaa Rais Samia Suluhu akaja na wazo la kufanya royal tour iliyowaibua mataifa mbalimbali ikiwemo watu maarufu kuja kutembea nchini kwetu na kupelekea pato la taifa kuendelea kupanda siku hadi siku
Yaani weweni jinga kweli kweli
 
Sisi tunaoishi sehemu za mapito ya utalii hatuini tofauti na wakati kabla ya corona.
Ni mitizamo tu una haki kikatiba kuona tofauti ila tu reason kwa muji wa takwimu sio mihemko
 
Kipimo cha kujua imeleta tija kuna vitu vingi vya kuzingatia ila nitasema nilichokiona mimi ni T.R.T imeleta tija tunaona takwimu za wageni kuja Tanzania zimeongezeka , kuiweka Tanzania kwenye ramani ya duinia na kuongelewa mara nyingi imewezekana Royal tour imeleta tija
Chief tuwekee hizo twakwinu basi
 
Kipimo cha kujua imeleta tija kuna vitu vingi vya kuzingatia ila nitasema nilichokiona mimi ni T.R.T imeleta tija tunaona takwimu za wageni kuja Tanzania zimeongezeka , kuiweka Tanzania kwenye ramani ya duinia na kuongelewa mara nyingi imewezekana Royal tour imeleta tija
Exactly hii haina kupinga Royal tour imewaibua hadi watu maarufu kwaiyo sasa watanzaniua tunakula matunda ya royal tour maana hadi muuza matunda ananufaika na ongezeko hili la watalii
 
Ni mitizamo tu una haki kikatiba kuona tofauti ila tu reason kwa muji wa takwimu sio mihemko
Unabisha bila takwimu?
Mwaka 2016 tulipokea watalii 1.2m na 2017 tulipokea 1.3m
Screenshot_20230220-175048_Chrome.jpg
 
Exactly hii haina kupinga Royal tour imewaibua hadi watu maarufu kwaiyo sasa watanzaniua tunakula matunda ya royal tour maana hadi muuza matunda ananufaika na ongezeko hili la watalii
Tutajie watu maarufu waliokuja Kwa sababu ya royal tour ambao walikuwa hawajawahi kuka
 
Yaani weweni jinga kweli kweli
TAKWIMU ZINAONGEA MZEE mapato yatokanayo na watalii wa kimataifa yaliongezeka kutoka dola za Marekani milioni 714.59 mwaka 2020 hadi dola za Marekani bilioni 1.25 mwaka 2021 sawa na ongezeko la asilimia 76
 
Unabisha bila takwimu?
Mwaka 2016 tulipokea watalii 1.2m na 2017 tulipokea 1.3mView attachment 2524183
Watu wengine wanaongea bila kujua undani wa mambo wanasikiliza story za vijiweni na sio kufuatilia uhalisia Takwimu za Mwaka 2020 na 2021

mapato yatokanayo na watalii wa kimataifa yaliongezeka kutoka dola za Marekani milioni 714.59 mwaka 2020 hadi dola za Marekani bilioni 1.25 mwaka 2021 sawa na ongezeko la asilimia 76
 
Y
TAKWIMU ZINAONGEA MZEE mapato yatokanayo na watalii wa kimataifa yaliongezeka kutoka dola za Marekani milioni 714.59 mwaka 2020 hadi dola za Marekani bilioni 1.25 mwaka 2021 sawa na ongezeko la asilimia 76
Yaani hii inchi wapumbavu mko wengi sana.
Hivi unatumiaje takwimu za 2020 kusifia kitu Cha 2022.

Hivi mna akili kweli.

Mpeni Sifa marehemu ndie aliekataa kufunga nchi wakati was corona hivyo kupelekea utalii was Tanzania kupaa
 
Watu wengine wanaongea bila kujua undani wa mambo wanasikiliza story za vijiweni na sio kufuatilia uhalisia Takwimu za Mwaka 2020 na 2021

mapato yatokanayo na watalii wa kimataifa yaliongezeka kutoka dola za Marekani milioni 714.59 mwaka 2020 hadi dola za Marekani bilioni 1.25 mwaka 2021 sawa na ongezeko la asilimia 76
Chawa wa mama wanapotosja kila kitu
 
Mimi na wewe ni wahusika maana hapa tunaiongelea Tanzania na sio nchi jirani hata wewe unajua kuwa baada ya royal tour watalii wameongeza na kupelekea kupandisha uchumi wa nchi na wananchi kupitia biashara mbalimbali ikiwemo ya chakula na mahoteli maana hoteli zingine zilifungwa ila baada ya kuongezeka kwa watalii hoteli zinaendelea kujengwa
Mkuu unapozungumzia mahotel kufungwa ilikua kipind ya COVID but maan ya kusema wahusika wa nyanja hiyo watupe details ni kujiridhisha tuna impact kias gan ya tourists flowing! Cz hii hoja hapa ipo theoretically!!
 
Mimi na wewe ni wahusika maana hapa tunaiongelea Tanzania na sio nchi jirani hata wewe unajua kuwa baada ya royal tour watalii wameongeza na kupelekea kupandisha uchumi wa nchi na wananchi kupitia biashara mbalimbali ikiwemo ya chakula na mahoteli maana hoteli zingine zilifungwa ila baada ya kuongezeka kwa watalii hoteli zinaendelea kujengwa
Hakuna ongezeko la watalii isipokuwa utalii umerejea baada ya likizo ya corona kuisha
 
Hahahha Chadema hakuna wanachokijua zaidi ya kulalamikia polisi na kutembea na ushuhuda wa Lissu kupigwa risasi lakini ukiwambia hata Miundombinu imeboreshwa, watalii wanazidi kuongezeka nchini kupitia filamu ya royal tour hawaelewi kabisa
Wewe ndiye unayejua.sasa umekuja mtandaoni kuuliza ili iweje.mnaanzisha mada zakijinga alafu mnajijibu wenyewe.
 
Back
Top Bottom