Sisi tunaoishi sehemu za mapito ya utalii hatuini tofauti na wakati kabla ya corona.Kipimo cha kujua imeleta tija kuna vitu vingi vya kuzingatia ila niatkisema nilichokiona mimi,kwa uolpande wangu naona imeleta tija tunaona takwimu za wageni kuja Tanzania zimeongezeka , kuiweka Tanzania kwenye ramani ya duinia na kuongelewa mara nyingi imewezekana Royal tour imeleta tija
Yaani weweni jinga kweli kweliWatu kama nyinyi huwa hamkosekani lakini utaliii ulishuka sana watu ni kama walisahau tena kama Tanzania kuna vivutio vizuri vya utalii ndio manaa Rais Samia Suluhu akaja na wazo la kufanya royal tour iliyowaibua mataifa mbalimbali ikiwemo watu maarufu kuja kutembea nchini kwetu na kupelekea pato la taifa kuendelea kupanda siku hadi siku
Ni mitizamo tu una haki kikatiba kuona tofauti ila tu reason kwa muji wa takwimu sio mihemkoSisi tunaoishi sehemu za mapito ya utalii hatuini tofauti na wakati kabla ya corona.
Chief tuwekee hizo twakwinu basiKipimo cha kujua imeleta tija kuna vitu vingi vya kuzingatia ila nitasema nilichokiona mimi ni T.R.T imeleta tija tunaona takwimu za wageni kuja Tanzania zimeongezeka , kuiweka Tanzania kwenye ramani ya duinia na kuongelewa mara nyingi imewezekana Royal tour imeleta tija
Exactly hii haina kupinga Royal tour imewaibua hadi watu maarufu kwaiyo sasa watanzaniua tunakula matunda ya royal tour maana hadi muuza matunda ananufaika na ongezeko hili la wataliiKipimo cha kujua imeleta tija kuna vitu vingi vya kuzingatia ila nitasema nilichokiona mimi ni T.R.T imeleta tija tunaona takwimu za wageni kuja Tanzania zimeongezeka , kuiweka Tanzania kwenye ramani ya duinia na kuongelewa mara nyingi imewezekana Royal tour imeleta tija
Unabisha bila takwimu?Ni mitizamo tu una haki kikatiba kuona tofauti ila tu reason kwa muji wa takwimu sio mihemko
Tutajie watu maarufu waliokuja Kwa sababu ya royal tour ambao walikuwa hawajawahi kukaExactly hii haina kupinga Royal tour imewaibua hadi watu maarufu kwaiyo sasa watanzaniua tunakula matunda ya royal tour maana hadi muuza matunda ananufaika na ongezeko hili la watalii
TAKWIMU ZINAONGEA MZEE mapato yatokanayo na watalii wa kimataifa yaliongezeka kutoka dola za Marekani milioni 714.59 mwaka 2020 hadi dola za Marekani bilioni 1.25 mwaka 2021 sawa na ongezeko la asilimia 76Yaani weweni jinga kweli kweli
Tuwaulize CHADEMA kama wanajua haya au makovu ya risasi
USSR
Watu wengine wanaongea bila kujua undani wa mambo wanasikiliza story za vijiweni na sio kufuatilia uhalisia Takwimu za Mwaka 2020 na 2021Unabisha bila takwimu?
Mwaka 2016 tulipokea watalii 1.2m na 2017 tulipokea 1.3mView attachment 2524183
Hata kabla ya riport matokeo tumeshaanza kuyaona toka mwaka janaRIpoti ya CAG inasemaje? Isije ikawa tunapngwa kama "MTU FURANI" alivyokuwa anatupanga.
Yaani hii inchi wapumbavu mko wengi sana.TAKWIMU ZINAONGEA MZEE mapato yatokanayo na watalii wa kimataifa yaliongezeka kutoka dola za Marekani milioni 714.59 mwaka 2020 hadi dola za Marekani bilioni 1.25 mwaka 2021 sawa na ongezeko la asilimia 76
RIpoti ya CAG inasemaje? Isije ikawa tunapngwa kama "MTU FURANI" alivyokuwa anatupanga.
Chawa wa mama wanapotosja kila kituWatu wengine wanaongea bila kujua undani wa mambo wanasikiliza story za vijiweni na sio kufuatilia uhalisia Takwimu za Mwaka 2020 na 2021
mapato yatokanayo na watalii wa kimataifa yaliongezeka kutoka dola za Marekani milioni 714.59 mwaka 2020 hadi dola za Marekani bilioni 1.25 mwaka 2021 sawa na ongezeko la asilimia 76
Mkuu unapozungumzia mahotel kufungwa ilikua kipind ya COVID but maan ya kusema wahusika wa nyanja hiyo watupe details ni kujiridhisha tuna impact kias gan ya tourists flowing! Cz hii hoja hapa ipo theoretically!!Mimi na wewe ni wahusika maana hapa tunaiongelea Tanzania na sio nchi jirani hata wewe unajua kuwa baada ya royal tour watalii wameongeza na kupelekea kupandisha uchumi wa nchi na wananchi kupitia biashara mbalimbali ikiwemo ya chakula na mahoteli maana hoteli zingine zilifungwa ila baada ya kuongezeka kwa watalii hoteli zinaendelea kujengwa
👇🏾Soma.Tanzania Royal Tour ilipata airtime tusisahau baada ya uzinduzi watu wengi maarufu walikuja nchini
Utalii uliporomoshwa na Covid, na umenyanyuka baada ya Covid kupungua/kuisha.
Hakuna cha Roho Tour wala nn.
View attachment 2524192
Huu ni mfano tu wa watu maarufu waliletwa na royal tour
Hakuna ongezeko la watalii isipokuwa utalii umerejea baada ya likizo ya corona kuishaMimi na wewe ni wahusika maana hapa tunaiongelea Tanzania na sio nchi jirani hata wewe unajua kuwa baada ya royal tour watalii wameongeza na kupelekea kupandisha uchumi wa nchi na wananchi kupitia biashara mbalimbali ikiwemo ya chakula na mahoteli maana hoteli zingine zilifungwa ila baada ya kuongezeka kwa watalii hoteli zinaendelea kujengwa
Wewe ndiye unayejua.sasa umekuja mtandaoni kuuliza ili iweje.mnaanzisha mada zakijinga alafu mnajijibu wenyewe.Hahahha Chadema hakuna wanachokijua zaidi ya kulalamikia polisi na kutembea na ushuhuda wa Lissu kupigwa risasi lakini ukiwambia hata Miundombinu imeboreshwa, watalii wanazidi kuongezeka nchini kupitia filamu ya royal tour hawaelewi kabisa