Je, ni kweli Royal Tour imesaidia kukuza utalii?

Utalii uliporomoshwa na Covid, na umenyanyuka baada ya Covid kupungua/kuisha.
Hakuna cha Roho Tour wala nn.
Kweli Mkuu, watu wanaleta siasa njaa za kumsifu Bibi wakati kiuhalisia hakuna kitu.Mara kibao Mbuga ya Serengeti na Mlima Kilimanjaro zimekuwa zikipata tuzo za kimataifa.
Sasa nazo zimetangazwa na Royal Tour!!!
 
Acha uongo watu maarufu wamekuwa wakija Tanzania miaka ya nyuma kabla ya Royal Tour.Obama naye alikuja baada ya Royal Tour?
 
Kwanza hakuna Assessment ya kitaalamu iliyofanywa juu ya mchango wa Royal Tour na kuongezeka watalii.
 
Inatakiwa ifanywe Assessment ya kitaalamu Ili tupate ukweli.
 
Tupiganie Katiba mpya, royal tour ni matokeo ya Katiba tuliyo nayo.....huu ni mwanzo, zitaibuka tour nyingi huko mbele
 
Kwani kabla ya royal tour watu maarufu duniani walikuwa hawaji Tanzania kufanya utalii?
Akina David Beckham, Bill gate, Naomi Campbell, rais wa Switzerland wamekuja kutalii Tanzania,
Royal tour haija boost utalii.
Nendeni Rwanda mkajifunze namna ya kutangaza utalii,
Si huu wenu uchuro wa kutegemea mtu mmoja one man show.
Rwanda wana bajeti ya kutangaza utalii, ninyi mna bajeti hiyo?
Rwanda wana timu ya kupanga na kuchagua matangazo yapi watumie kutangaza utalii wao?
Ninyi mna timu ya aina hiyo?
Exactly hii haina kupinga Royal tour imewaibua hadi watu maarufu kwaiyo sasa watanzaniua tunakula matunda ya royal tour maana hadi muuza matunda ananufaika na ongezeko hili la watalii
 
Wamasaai wanweza kuwa na jibu zuri kwenye hili. vitalu vya uwindaji vinamilikiwa na waarabu sasa nyie mnanufaikaje?
 
Royal tour imeipa msukumo mkubwa sekta ya utalii. Lengo la watalii millioni tano kwa mwaka ifikapo 2030 huenda likafanikiwa hata kabla ya kufika mwaka huo.
 
Kwani wewe hujasikia Mamba aliyeuawa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…