Je, ni kweli Serikali haina Dini?

Je, ni kweli Serikali haina Dini?

Ja
Nafikiri uelewa ni tofauti hapa! Mi naelewa serikali Haina dini kwa maana hii watu wote itawahudumia bila tofauti ya dini zao ama tofauti zao ktk namna yoyote.

Pili serikali inamambo yake ambayo inasheria zake zinazoamuliwa kiserikali pasipo mitazamo ya kidini mfano mahakama zinavyoendesha kesi na hukumu, kwenye dini usiue lkn serikali ikikukamata na hatia ya mauwaji unalamba kamba!..

Fumbueni macho msichanganye vitu....
Kama wauaji inawatia kitanzi kwa nini hawa matapeli wahubiri , mitume wachungaji, manabii,maaskofu uchwara wanaotapeli mchana kweupe wanawaacha kuumiza wananchi??!!
 
Ja

Kama wauaji inawatia kitanzi kwa nini hawa matapeli wahubiri , mitume wachungaji, manabii,maaskofu uchwara wanaotapeli mchana kweupe wanawaacha kuumiza wananchi??!!
😂😂 Mkuu upo sawa au unashida mahali...???
 
Inaamini uwepo wa Mungu huwa kinachofanyika ni hawataki kuweka matabaka Kati ya nchi na wananchi wenyewe nafikiri umenielewa
Nimekyelewa mkuu Ila inakuwaje mtu anajificha kwenye kichaka cha dini na kuwatapeli wananchi m mchana kweupe serikali haichukui hatua yoyote kukomesha huu utapeli??
 
Back
Top Bottom