Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Russia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mkuu .ni kama unazilazimisha kupikwa na hazitaki.halafu ladha SasaHahaha tambi zimegoma kua tambi zimekua tambuu
Hapana sema ukweli huenda ikasaidia kuboresha ubora!Hayo hayana issue sema sitaki kuharibu biashara za watu ngoja nipite kimya kimya
Hahaha halafu kuna juice za kampuni moja hapa siitaji day 1 nainywa nikajiuliza hii juice vipi formula iliyotumika ni zile juice za uji za kipindi kilee ambazo zilivuma zikapotea naona jamaa wamezirudisha ila kwa brand nyingine nilishtuka sana sikurudia tena kuzinywa ni juice za watoto ila ladha mbaya unaweza ukatapikaHapana sema ukweli huenda ikasaidia kuboresha ubora!
Kiukweli Tambi za Mo ni zaidi ya Ugali, hata uzifanyie mbwembwe vipi mitambi imeshikamana tu!
MbayaaZile Tambi za yule mhindi wa ubaya ubwela haki sijui wanatumia Nini...mmhhh🙆
Ukute wao wenyewe hawazili tunatengenzewa sie walalahoi🤣Mbayaa
True mkuu....hizi brand hata zikielekea kufa makampuni makubwa yanawanunua wanaendelea kumaintain brandPamoja na blueband na Kiwi. Hawa wameaminika mno hata aingie nani kwenye soko watu watatafuta zilezile za zamani. Mbaya zaidi ni brands za Kenya sio Tanzania
ATambi za Santa Lucia zimeadimika sana kitaa, nikajikuta nauliza kwa wadau wa dukani wakaniambia ni kama zimebadilishwa jina na sasa zinaitwa Olivoila.
Yaani ni kama Tigo ilivyobadili jina na kuitwa Yas basi ndio hivyo hivyo kwa Santa Lucia.
Je, kuna ukweli kwenye hili?
View attachment 3180999
Manufacturer wa Santa Lucia alikuwa nani na wa hizo Alivoila ni nani?Tambi za Santa Lucia zimeadimika sana kitaa, nikajikuta nauliza kwa wadau wa dukani wakaniambia ni kama zimebadilishwa jina na sasa zinaitwa Olivoila.
Yaani ni kama Tigo ilivyobadili jina na kuitwa Yas basi ndio hivyo hivyo kwa Santa Lucia.
Je, kuna ukweli kwenye hili?
View attachment 3180999
baada ya kulamba teuzi, anapewa ruzuku kutoka kwenye hazina, ambayo ni kodi zetu,....so ...acha tuzijaze tu maana ni zetu🤣🤣Jamani mnajaza Saver za JF sasa😂
Wameamua kutulisha uchafu Wallaih!Hahaha halafu kuna juice za kampuni moja hapa siitaji day 1 nainywa nikajiuliza hii juice vipi formula iliyotumika ni zile juice za uji za kipindi kilee ambazo zilivuma zikapotea naona jamaa wamezirudisha ila kwa brand nyingine nilishtuka sana sikurudia tena kuzinywa ni juice za watoto ila ladha mbaya unaweza ukatapika
HahahaWameamua kutulisha uchafu Wallaih!
Ukute wao wenyewe hawazili tunatengenzewa sie walalahoi🤣
[/QUOTEUkute wao wenyewe hawazili tunatengenzewa sie walalahoi🤣😂😂😂😂Ukute wao wenyewe hawazili tunatengenzewa sie walalahoi🤣
SOma zote ni made from where??Tambi za Santa Lucia zimeadimika sana kitaa, nikajikuta nauliza kwa wadau wa dukani wakaniambia ni kama zimebadilishwa jina na sasa zinaitwa Olivoila.
Yaani ni kama Tigo ilivyobadili jina na kuitwa Yas basi ndio hivyo hivyo kwa Santa Lucia.
Je, kuna ukweli kwenye hili?
View attachment 3180999
Car-toe-mbweJamani mnajaza Saver za JF sasa😂
Kwani bakhresa anakunywa energy zake?Ukute wao wenyewe hawazili tunatengenzewa sie walalahoi🤣