Kitu gani kilichopo kwenye dona ambacho kinaongeza hizo nguvu za kiume??Dona ni unga mzuri sana bora hasa kwa wale wanao lialia nguvu za kiume. Ila chakuzingatia ni kupata mahindi yali hifadhiwa bila dawa au yaliotoka shambani moja kwa moja.
Ni raha sana kusoma makala ya kitaalamu ambayo imeandikwa vizuri,ikiwa na wewe una uelewa wa kinachozungumzwaMleta mada nakusifu kwa kuandika makala hii ndefu..
Mimi pia ni mtaalamu wa Nutrition lakini kiukweli ni mvivu kuandika..
Pengine yawezakuwa umetafsiri vibaya watu wanaposema dona ni nzuri kuliko sembe...
Sidhani hoja ya watu wengi wanaoshauri husimamia kwenye nguvu....
Mmi napenda Dona si kwasababu ya Nguvu bali katika kufanya diet. Kama ulivypeleza kuwa Dona in fibres nyingi, hivyo kusababisha kukaa tumboni mda mrefu na kuhisi umeshiba (satiety) hii inasaidia kutokutamani tena kula na hivyo mwili kuunguza mafuta yaliyohifadhiwa mbilini huku mmeng'enyo wa dona ukienda taratibu....
Sbembe huchakatwa haraka sana na hivyo kuzalisha glucose nyingi. Kuwa na glucose nyingi mwilini pasipo matumizi hasa kwa sisi tunaoishi mjini, (life style) ni sehem ya kuongeza uzito kwenye mwili na kunenepeana hovyoo...
Hivyo tukiachana na suala la virutubisho, bado dona ni bora kuliko sembe hasa katika kuzuia magonjwa ya moyo na obesity
kwa nini wagonjwa wa kisukari wanashauriwa kula dona?
Duu mtizame panya wewe unayejiita una akili huwezi kumkamata panyampumbavu ni Nani?
mpumbavu ni yule ambaye hata akielimishwa haelimiki ndio panya anakula kiini kwa hiyo wewe panya?
kila anachokula panya ndo Bora?
haya panya anakula uchafu na mabaki ya chakula na ww kale
We janaa unatumia ujuzi wako kuwadanganya watu panya mwenyewe ana akili sana maana hayo mahindi yeye hula kiini pekee na kuacha hayo masalia mengine.
Ila we kazana na sembe tuu siye tuachie dona
Umekuwa panya leoWe janaa unatumia ujuzi wako kuwadanganya watu panya mwenyewe ana akili sana maana hayo mahindi yeye hula kiini pekee na kuacha hayo masalia mengine.
Ila we kazana na sembe tuu siye tuachie dona
Kutokana na vyuma kukaza hapa ☝️ dona ndio inaonekana bora kuliko sembe.Kinachotokea kwa dona ni kuchelewa kumeng'enywa na kukaa tumboni muda mrefu na hivyo kufanya mfumo wa chakula na mfumo wa fahamu 'ujue' bado kuna kitu kwenye mfumo wa chakula. Hali hii hufanya mfumo wa fahamu uridhike kwa muda mrefu na mtu kutopata hisia ya njaa...
Unayaosha kabla ya kusagamahindi ya siku hizi ukiyasaga dona unga unakuwa mchungu balaa
Panya wala dona