Je, ni kweli Ugali wa Dona ni bora kuliko wa Sembe?

kula chakula kutokana na kazi unzofanya na mazingira uliyopo kama wewe ni wakukaa ofisini muda mwingi achana na sembe kula dona tusiishi kimazoea kila mtu ale chakula kwa kuzingatia anaitaji nini kutokana na kazi zake
 
Umeandika maneno mengi ambayo ni irrelevant na hayahusiani na mada uliyoandika, what a waste of time.

Ukweli utabaki palepale nafaka ambayo haijakobolewa (ngano, mahindi) inavirutubisho zaidi na iliyokobolewa.
 
Case ya sumu Ni sensitive sana zaidi ya watu wanavyojua.

Nilikuwa nasubiri uiseme nashukuru umeigusia ...

Mjadala umekamilika huu ....

Tuwe makini na mahindi yalihifadhiwa kwa sumu na sumu kuvu.
 
We janaa unatumia ujuzi wako kuwadanganya watu panya mwenyewe ana akili sana maana hayo mahindi yeye hula kiini pekee na kuacha hayo masalia mengine.
Ila we kazana na sembe tuu siye tuachie dona

Ingekuwa sembe ni ya hovyo kiasi hicho basi kusingekuwa na Mnyamwezi wa kutoka wilaya za Sikonge na ama Urambo (na wale wa Mpanda) mwenye afya hata mmoja. Kule mahindi hukobolewa na kulowekwa kwa siku tatu kabla ya kusagwa (baada ya kuwa yamekaushwa). Nimekulia ugali wa aina hiyo na sina tatizo kulinganisha na mla dona.
 
Umeandika maneno mengi ambayo ni irrelevant na hayahusiani na mada uliyoandika, what a waste of time.

Ukweli utabaki palepale nafaka ambayo haijakobolewa (ngano, mahindi) inavirutubisho zaidi na iliyokobolewa.
Whole grain ndo habari ya mujini. Muhimu tuu kuosha vzr kwnz kabla ya kusaga
 
Ugali wa dona (siyo mke wangu Donna) ninaumisi kweli kweli; hasa kile kiporo cha dona asubuhi nilikuwa naweza kukitwanga bila hata kitoweo! Ukishamaliza kutwanga kiporo cha dona kavukavu ukaingia darasani hakuna neno mwalimu ataongea likakushinda kuelewa. Dona na Donna wangu jamani mwe!!!
 

Najisikia kichefuchefu kusoma hizi pumba.
 
Nilivyoelewa mimi ni kama ifuatavyo;
1kg ya dona ina glucose chache ukilinganisha na 1kg ya sembe i.e glucose/kg ni kubwa zaidi kwenye sembe.

Unauliza kwanini??Ni hivi kama utatumia galoni 1 ya mahindi kupata kilo moja ya dona basi utatumia zaidi ya galoni moja kupata kilo 1 ya sembe.Na hii ndio inayosababisha concentration ya glucose kuwa kubwa kwenye sembe.
 

Kwaiyo sembe ni bora kama unakula na kufanya mazoezi na kutumia ile grucos yote?
 
Hakuna chakula bora ambacho ukila eti kinakutaka ufanye mazoezi..hakuna chakula hicho aiser..
Kwaiyo sembe ni bora kama unakula na kufanya mazoezi na kutumia ile grucos yote?
 
We janaa unatumia ujuzi wako kuwadanganya watu panya mwenyewe ana akili sana maana hayo mahindi yeye hula kiini pekee na kuacha hayo masalia mengine.
Ila we kazana na sembe tuu siye tuachie dona
Wewe Panya Mpumbavu tu hana akili yoyote, Juzi wameacha kula mkate amekula
Cheti changu cha darasa la saba na amekula na kukata kata chaja za Laptop kama
sio utaahira ni nini? Aah! Panya hana akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…