Je, ni kweli ukichanganya masega ya nyigu kwenye chakula unachompa mbwa vitamfanya mbwa kuwa mkali?

Je, ni kweli ukichanganya masega ya nyigu kwenye chakula unachompa mbwa vitamfanya mbwa kuwa mkali?

Wakuu nisaidieni kujua kuhusu hili.

Ila pia kama ni kweli nisaidie kujua, masega hayo unayapikia pamoja na nyama ya umbwa au baada ya kuandaa chakula ndio unaweka masega hayo.

Karibuni.
Dawa ya mbwa kua mkali fanya ivi then uje utupe mrejesho..

1. Chukua GAMBA LA KAKAKUONA(mnyama) chukua kiwembe kwangua unga wake uweke kwenye ki mifuko au karatasi.

2. Chukua GAMBA LA mti wa NSUNGWI/ NTALARI watu wa lake zone wanajua mti wa sungwi magome yake ponda ponda upate unga wake.

3. Changanya unga wa KAKAKUONA+ unga wa gome la NSUNGWI mchanganyiko huo uchanganye vyema then chukua portion kidogo uwe una mmixier mbwa wako kwenye msosi aisee utayaona matokeo @ ASAP
 
Dawa ya mbwa kua mkali fanya ivi then uje utupe mrejesho..

1. Chukua GAMBA LA KAKAKUONA chukua kiwembe kwangua unga wake uweke kwenye ki mifuko au karatasi.

2. Chukua GAMBA LA mti wa NSUNGWI/ NTALARI watu wa lake zone wanajua mti wa sungwi magome yake ponda ponda upate unga wake.

3. Changanya unga wa KAKAKUONA+ unga wa home la NSUNGWI mchanganyiko huo uchanganye vyema then chukuo portion kidogo uwe una mmixier mbwa wako kwenye msosi aisee utayaona matokeo @ ASAP
Duh 1 na 3 ni changamoto duuh il natumai mtoa mada anaelewa
 
Wakuu nisaidieni kujua kuhusu hili.

Ila pia kama ni kweli nisaidie kujua, masega hayo unayapikia pamoja na nyama ya umbwa au baada ya kuandaa chakula ndio unaweka masega hayo.

Karibuni.
Wengine eti wanamfungia mbwa ndani, halafu wanawasha bangi na kuirusha humo ndani. Mbwa anakutana na moshi wa bangi kwa masaa kadhaa..!!
 
Back
Top Bottom