Je, ni kweli ukichanganya masega ya nyigu kwenye chakula unachompa mbwa vitamfanya mbwa kuwa mkali?

Je, ni kweli ukichanganya masega ya nyigu kwenye chakula unachompa mbwa vitamfanya mbwa kuwa mkali?

Hahah duuuh

Mbwa anakuwa Kavurugwa haswa.

Unanunua Bangi, Kisha unarudi nyumbani, unachimba vishimo viwili vilivyokaribiana Kisha unavuunganisha na mfereji, alafu unaweka Bomba linalotoka shimo A to B Kisha lilebomba unafukia.

Unachukua Mkaa wenye Moto, Kisha unaweka kwèñye shimo A Kisha unaimwaga Ile Bangi kwenye shimo A àmbalo linamoto, Moshi ukikolea, unalifunika shimo A alafu Moshi unatokea shimo B kupitia Ile Bomba,. Unamchukua Mbwa Kisha unamuinamisha kwèñye shimo B Kwa sekunde tanotano. Kisha unamfanyia hivyo mara kadhaa avute ule Moshi.

Atakuwa anaweweseka wewe usijali Wala nini. Kisha ukimaliza. Kamfungie bandani ukiwa umemuwekea chàkula alafu sikilizia baàda ya masaa kadhaa
 
Mbwa kuwa mkali hakuhusiani na aina ya chakula,
Awekwe mbali na watu sio kwa siku anaonana na watu 50 unasema na wewe una mbwa mlinzi,ale vizuri mara moja kwa siku na awe bandani muda wote wa mchana na kufungiwa mapema sana asubuhi
Kuna mbwa nawajua ni breed za local kabisa ila ukiwa na bajaji ama pikipiki kuanzia saa tatu usiku hiyo njia hukatizi kabisa
 
Mbwa anakuwa Kavurugwa haswa.

Unanunua Bangi, Kisha unarudi nyumbani, unachimba vishimo viwili vilivyokaribiana Kisha unavuunganisha na mfereji, alafu unaweka Bomba linalotoka shimo A to B Kisha lilebomba unafukia.

Unachukua Mkaa wenye Moto, Kisha unaweka kwèñye shimo A Kisha unaimwaga Ile Bangi kwenye shimo A àmbalo linamoto, Moshi ukikolea, unalifunika shimo A alafu Moshi unatokea shimo B kupitia Ile Bomba,. Unamchukua Mbwa Kisha unamuinamisha kwèñye shimo B Kwa sekunde tanotano. Kisha unamfanyia hivyo mara kadhaa avute ule Moshi.

Atakuwa anaweweseka wewe usijali Wala nini. Kisha ukimaliza. Kamfungie bandani ukiwa umemuwekea chàkula alafu sikilizia baàda ya masaa kadhaa
Mkuu ni process ya siku moja au unakuwa unarudia siku nyingine.

Pia kuna namna nyingine kama kuchanganya weed na chakula bila ya kumvutisha?
 
Namna ya kufanya mkuu tusaidiane.
Tafuta bangi safi ilio komaa chuma majani yake mazuri.
Kisha isage iwe vizuri kabisa kisha ichanganye namchuzi kidogo wachakula anacho penda.
Hakikisha nichakula anacho penda kiasi kwamba hua anakula namchuzi analamba kabisaa.
Mchanganyo wabangi uwe mwingi kiasi.
Zingatia wakati unaanza kumpa dozi hii awe sehemu salama aliofungiwa.
Utakua unaingia wewe kumpa chakula nakisha mwanafamilia mmoja mmoja utakua unaambatana nae kwenda kumpa chakula ili awazoee upya..kwamaana baada yahuduma hiyo atapoteza kumbu kumbu kwa asilimia kubwa na kuanza upya.
 
Mkuu ni process ya siku moja au unakuwa unarudia siku nyingine.

Pia kuna namna nyingine kama kuchanganya weed na chakula bila ya kumvutisha?

Kwa Mwezi mara Moja.

Note;
1. Mbwa ale vizuri
2. Mbwa asionane onane na Watu. Awe bandani na Banda liwe Nyuma ya Nyumba na liwe àmbalo halionyeshi nje. Yaani asione one Watu.
3. Mjali sana na mfundishe kukutiii usijemvutisha mabangi akakung'ata Mpaka wewe.

4. Úwe na muda angalau Kwa wiki mnatoka mnaenda kuwinda ili Yale mawenge na bangi Zake azitumie Huko kufukuzana na vicheche, kenge n.k

Sisi enzi tuko Watoto tukienda kuwinda vicheche ndîo tunawavutisha Bange(bangi)
 
Tafuta bangi safi ilio komaa chuma majani yake mazuri.
Kisha isage iwe vizuri kabisa kisha ichanganye namchuzi kidogo wachakula anacho penda.
Hakikisha nichakula anacho penda kiasi kwamba hua anakula namchuzi analamba kabisaa.
Mchanganyo wabangi uwe mwingi kiasi.
Zingatia wakati unaanza kumpa dozi hii awe sehemu salama aliofungiwa.
Utakua unaingia wewe kumpa chakula nakisha mwanafamilia mmoja mmoja utakua unaambatana nae kwenda kumpa chakula ili awazoee upya..kwamaana baada yahuduma hiyo atapoteza kumbu kumbu kwa asilimia kubwa na kuanza upya.
👆👆👆
 
Mbwa anakuwa Kavurugwa haswa.

Unanunua Bangi, Kisha unarudi nyumbani, unachimba vishimo viwili vilivyokaribiana Kisha unavuunganisha na mfereji, alafu unaweka Bomba linalotoka shimo A to B Kisha lilebomba unafukia.

Unachukua Mkaa wenye Moto, Kisha unaweka kwèñye shimo A Kisha unaimwaga Ile Bangi kwenye shimo A àmbalo linamoto, Moshi ukikolea, unalifunika shimo A alafu Moshi unatokea shimo B kupitia Ile Bomba,. Unamchukua Mbwa Kisha unamuinamisha kwèñye shimo B Kwa sekunde tanotano. Kisha unamfanyia hivyo mara kadhaa avute ule Moshi.

Atakuwa anaweweseka wewe usijali Wala nini. Kisha ukimaliza. Kamfungie bandani ukiwa umemuwekea chàkula alafu sikilizia baàda ya masaa kadhaa
Tulifanya hivyo enzi za uvulana wetu mbwa alikuwa mdogo cha ajabu aliwehuka na kuanza kunya damu hadi kufa
 
normally sweet and gentle dog can become aggressive and unpredictable when under the influence of some forms of marijuana.

"Unpredictable"
Ina maana mbwa wako hata wewe ukikaa vibbaya anakula miguu yako 😂
 
Back
Top Bottom