FORBIDDEN HISTORY
Senior Member
- Jul 28, 2024
- 125
- 224
NDIOWakuu nisaidieni kujua kuhusu hili.
Ila pia kama ni kweli nisaidie kujua, masega hayo unayapikia pamoja na nyama ya umbwa au baada ya kuandaa chakula ndio unaweka masega hayo.
Karibuni.
Nisaidie namna ya kufanya mkuu,NDIO
Dawa ya mbwa kua mkali fanya ivi then uje utupe mrejesho..Wakuu nisaidieni kujua kuhusu hili.
Ila pia kama ni kweli nisaidie kujua, masega hayo unayapikia pamoja na nyama ya umbwa au baada ya kuandaa chakula ndio unaweka masega hayo.
Karibuni.
Duh 1 na 3 ni changamoto duuh il natumai mtoa mada anaelewaDawa ya mbwa kua mkali fanya ivi then uje utupe mrejesho..
1. Chukua GAMBA LA KAKAKUONA chukua kiwembe kwangua unga wake uweke kwenye ki mifuko au karatasi.
2. Chukua GAMBA LA mti wa NSUNGWI/ NTALARI watu wa lake zone wanajua mti wa sungwi magome yake ponda ponda upate unga wake.
3. Changanya unga wa KAKAKUONA+ unga wa home la NSUNGWI mchanganyiko huo uchanganye vyema then chukuo portion kidogo uwe una mmixier mbwa wako kwenye msosi aisee utayaona matokeo @ ASAP
Home ni typing error nili maanisha gome la mti.Duh 1 na 3 ni changamoto duuh il natumai mtoa mada anaelewa
ahahah ahsantw mkuu kakakuona nitamtolea mie duiuhHome ni typing error nili maanisha gome la mti.
Nifundishe namna ya kufanya mtaaalam tafadhari.hahahahahahahaha
Mkuu umenikumbusha mbali
Nisha wahi Fanya hivo
Mbwa alikua mkalia balaa
Kuna maduka ya vifaa asilia Mbona yapo tele hapa dar es salaam.Hah
ahahah ahsantw mkuu kakakuona nitamtolea mie duiuh
Hahah duuuhMvutishe bangi.
Hata njia hiyo inatumika pia
Sawa sawa mkuu ahsante sanaKuna maduka ya vifaa asilia Mbona yapo tele hapa dar es salaam.
Vifaa vya uganga/ tiba asilia yapo mengi Sanaa
Utapata gamba la KAKAKUONA (mnyama)
Wengine eti wanamfungia mbwa ndani, halafu wanawasha bangi na kuirusha humo ndani. Mbwa anakutana na moshi wa bangi kwa masaa kadhaa..!!Wakuu nisaidieni kujua kuhusu hili.
Ila pia kama ni kweli nisaidie kujua, masega hayo unayapikia pamoja na nyama ya umbwa au baada ya kuandaa chakula ndio unaweka masega hayo.
Karibuni.
Duh ahahha hatariWengine eti wanamfungia mbwa ndani, halafu wanawasha bangi na kuirusha humo ndani. Mbwa anakutana na moshi wa bangi kwa masaa kadhaa..!!
Hata mimi nasikia hii ila napendelea njia nyingineWengine eti wanamfungia mbwa ndani, halafu wanawasha bangi na kuirusha humo ndani. Mbwa anakutana na moshi wa bangi kwa masaa kadhaa..!!
Unamtesa tu mbwaWakuu nisaidieni kujua kuhusu hili.
Ila pia kama ni kweli nisaidie kujua, masega hayo unayapikia pamoja na nyama ya umbwa au baada ya kuandaa chakula ndio unaweka masega hayo.
Karibuni.