Je, ni kweli Vumbi la Kongo linaongeza nguvu wakati wa kufanya mapenzi?

Je, ni kweli Vumbi la Kongo linaongeza nguvu wakati wa kufanya mapenzi?

Naona awamu hii, hadi sementi mkiambiwa inaongeza nguvu za kiume mtakula.

Pumba.fu sana vijana wengi wenye tabia hizi za kihafidhina na kishenzi.


Mbona simenti tushaanza kula kitambo ila haina stimu kihivyo kama gundi na lile vumbi la Kongo. Kwani wewe hutumii au unajipiga vidole tu kujiridhisha?
 
Ttzo madem wanapenda hela so lazma vjana wahangaike kuwashugulikia ipasavyo

Aiseeeeh
Mtawaua mademu hizo papuchino zao.

Ila, vijana nao wataangamia kwa sababu dawa hizo baada ya miaka miwili ijayo watakuwa hawawezi kukojoa mkojo wa kawaida bila kukojoleshwa kama vitoto vidogo vya chekechea.
 
Mbona simenti tushaanza kula kitambo ila haina stimu kihivyo kama gundi na lile vumbi la Kongo. Kwani wewe hutumii au unajipiga vidole tu kujiridhisha?

Aiseeeeh

Hadi cement mnakula!?

Mimi ni Mwanaume timamu. Situmii hizo supplement.

Nakula vizuri, mazoezi, napumzika, Nalala vizuri kwa hiyo napiga papuchino ya manzi wangu bila huo uganga wa kikongo.
 
Mundende a.k.a lemba a.k.a chaku paka

Ita waangamiza vijana.
 
Asee nimeiona fursa... Ngoja niagize kiroba kizima nije kupiga hela Daslam na ichi kibarua niresign kabisa
 
Wakitaka kujua wabongo akili zao ni nzuri watangaze "vumbi" la makinikia yaliyoko kwenye makontena hapo bandarini linaongeza nguvu za kiume.Kama watakuta makinikia kwenye hayo makontena.
 
Mkuu mkongo ni balaa, kama ukiitumia kwa mke wa mtu jiandae kufa maana atakuganda milele
Dawa kuu na bora ni lishe bora ipatikanayo kwa wakati. Kula karanga mbichi tafuna mihogo, kula dona safi, maziwa na matunda kula vyakula vya kusafisha figo sana kama asali nyuki wadogo mixture na tangawizi and tunguu swaumu angalau twice a week hutajuta wala kuhangaika na vumbi ya congo. Upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa hasa na
1. Kukosa lishe bora.
2. Ulevi na matumizi ya madawa ya kulevya.
3. Kutopangilia vizuri ufanyaji wa mapenzi.
4. Ukosefu wa elimu ya mapenzi
5. Kazi nzito kupindukia zisizoendana na lishe.
6. Uchafu wa mwili.
7. Ajali n.k (humu ndimo na kurogwa kwaweza kuwemo kama unaamini).
Tatizo, nimeona wakongo fulani wanasema hiyo vumbi ukiizoea tu rungu yako haitaweza kuua hata sisimizi bila kulishwa hiyo vumbi.

Yaani rungu inakuwa tegemezi tena inakufa kabisa .

Kwa hiyo, itumieni tu matokeo na mrejesho wake utaujua mwenyewe baada ya miaka miwili ijayo.

Hata kukojoa mkojo wa kawaida utakuwa huwezi.

Endeleeni ivyo hivyo, matokeo mtayaona na mtafurahia hadi kukojoreshwa kama vitoto vidogo vya mwaka mmoja.
 
Dawa kuu na bora ni lishe bora ipatikanayo kwa wakati. Kula karanga mbichi tafuna mihogo, kula dona safi, maziwa na matunda kula vyakula vya kusafisha figo sana kama asali nyuki wadogo mixture na tangawizi and tunguu swaumu angalau twice a week hutajuta wala kuhangaika na vumbi ya congo. Upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa hasa na
1.kukosa lishe bora.
2.ulevi na matumizi ya madawa ya kulevya.
3.kutopangilia vizuri ufanyaji wa mapenzi.
4.ukosefu wa elimu ya mapenzi
5.kazi nzito kupindukia zisizoendana na lishe.
6.uchafu wa mwili.
7.ajali
8.n.k (humu ndimo na kurogwa kwaweza kuwemo kama unaamini).
Kweli mkuu, hapo dakika 30 mpaka 40+ kitu cha kawaida. Wanaume tujue namna ya kuitunza miili yetu (msosi+mazoezi).
 
Tatizo, nimeona wakongo fulani wanasema hiyo vumbi ukiizoea tu rungu yako haitaweza kuua hata sisimizi bila kulishwa hiyo vumbi.

Yaani rungu inakuwa tegemezi tena inakufa kabisa .

Kwa hiyo, itumieni tu matokeo na mrejesho wake utaujua mwenyewe baada ya miaka miwili ijayo.

Hata kukojoa mkojo wa kawaida utakuwa huwezi.

Endeleeni ivyo hivyo, matokeo mtayaona na mtafurahia hadi kukojoreshwa kama vitoto vidogo vya mwaka mmoja.
Waache,tutakuja kuwasaidia wake zao.Ngoja waendelee kutumia vumbi sijui la Acasia/kongo
 
Aiseeeeh

Hadi cement mnakula!?

Mimi ni Mwanaume timamu. Situmii hizo supplement.

Nakula vizuri, mazoezi, napumzika, Nalala vizuri kwa hiyo napiga papuchino ya manzi wangu bila huo uganga wa kikongo.


Bado uko kijana, iko siku utanikumbuka tu na pengine hata mavi ya kuku utakula ili upate nguvu za ziada. Wenzako tulishayapitia yote hayo na tulijiona kuwa ni wanaume wa shoka, ila umri hauna hodi na ndiyo maana tunatafuta njia mbadala.
 
Dawa kuu na bora ni lishe bora ipatikanayo kwa wakati. Kula karanga mbichi tafuna mihogo, kula dona safi, maziwa na matunda kula vyakula vya kusafisha figo sana kama asali nyuki wadogo mixture na tangawizi and tunguu swaumu angalau twice a week hutajuta wala kuhangaika na vumbi ya congo. Upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa hasa na
1.kukosa lishe bora.
2.ulevi na matumizi ya madawa ya kulevya.
3.kutopangilia vizuri ufanyaji wa mapenzi.
4.ukosefu wa elimu ya mapenzi
5.kazi nzito kupindukia zisizoendana na lishe.
6.uchafu wa mwili.
7.ajali
8.n.k (humu ndimo na kurogwa kwaweza kuwemo kama unaamini).


9. Kusikiliza Bongo fleva na kupenda bongo movie.
 
kaka hyo kitu noma sana mm ni shuhuda nilikaa km lisaa napiga mfululizo bila kukojo,yaan mmmh unaeza ukakesh mpk asubh bila kuchoka baadae takutumia namba ya mshkaj aliyeniuzia,nilimpata humuhumu
Sh.ngapi kaka
 
Back
Top Bottom