Je, ni kweli Vumbi la Kongo linaongeza nguvu wakati wa kufanya mapenzi?

Je, ni kweli Vumbi la Kongo linaongeza nguvu wakati wa kufanya mapenzi?

Bado uko kijana, iko siku utanikumbuka tu na pengine hata mavi ya kuku utakula ili upate nguvu za ziada. Wenzako tulishayapitia yote hayo na tulijiona kuwa ni wanaume wa shoka, ila umri hauna hodi na ndiyo maana tunatafuta njia mbadala.


Aaaah,.

Kumbe tatizo ni umri!?

Basi nitajie silaha zooooteee apa hapa jukwaani ili umri ukienda nianze kujihami na vitu hivyo vyoooteeee.

Mkereketwa_Huyu , Shikamoooo!!
 
Inasikitisha sana vijana sisi kuwaza vumbi na umri huu duh kwani mtu huwezi fanya Hilo tendo kwa uwezo wako? Kunahitajika ulazima wakubadilika
 
VUMBI LA KONGO
KIZIZI CHA MKUYATI
KASONGO MUNDENDE
MAGUFULI WA MSAMBWANDA
Zote ziko poa sana ila kali zaidi ni hyo ya mwisho, itafute mkuu hautojuta..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hiyo magufuli wa msambwanda ndo ipoje hiyo
 
kaka hyo kitu noma sana mm ni shuhuda nilikaa km lisaa napiga mfululizo bila kukojo,yaan mmmh unaeza ukakesh mpk asubh bila kuchoka baadae takutumia namba ya mshkaj aliyeniuzia,nilimpata humuhumu
Na mm nitumie broo
 
Hili nimelijalibu, nilichogundua, vitu viwili. Kwanza haiongeze nguvu, kwahiyo tegemea nguvu ulizonazo, pili, kazi yake kubwa kupunguza ladha halisi, ya utamu wa mchezo, yaani dushe linapata ganzi fulani hivi, ambayo inafanya usisikie ile ladha halisi, ambayo itakayokusababishia umalize mapema. Kama nia kumuonyesha mwanamke mpya wewe ni nani inafaa, ila kwa mkeo hii ni marufuku, sababu hutoweza kuitumia hii kila unapotaka kumtumbuiza mkeo. Zingatio hii kitu haitoi nguvu za mkopo, lazima hivo basi lazima uwe nazo zako. Na hii ni kwa mechi maalumu tu, na sio kila mechi.
 
Hili nimelijalibu, nilichogundua, vitu viwili. Kwanza haiongeze nguvu, kwahiyo tegemea nguvu ulizonazo, pili, kazi yake kubwa kupunguza ladha halisi, ya utamu wa mchezo, yaani dushe linapata ganzi fulani hivi, ambayo inafanya usisikie ile ladha halisi, ambayo itakayokusababishia umalize mapema. Kama nia kumuonyesha mwanamke mpya wewe ni nani inafaa, ila kwa mkeo hii ni marufuku, sababu hutoweza kuitumia hii kila unapotaka kumtumbuiza mkeo. Zingatio hii kitu haitoi nguvu za mkopo, lazima hivo basi lazima uwe nazo zako. Na hii ni kwa mechi maalumu tu, na sio kila mechi.
Hii kitu nasikia inakua inaparalyse dushelele so in long run no shida
 
Aaaah,.

Kumbe tatizo ni umri!?

Basi nitajie silaha zooooteee apa hapa jukwaani ili umri ukienda nianze kujihami na vitu hivyo vyoooteeee.

Mkereketwa_Huyu , Shikamoooo!!


Marahaba mjukuu wangu....nitakupa mbinu zote ila itabidi kwanza nikushikishe ukuta ndipo nikupe maujanja mengine.
 
Marahaba mjukuu wangu....nitakupa mbinu zote ila itabidi kwanza nikushikishe ukuta ndipo nikupe maujanja mengine.


Yaani, sasa mbona wewe Babu yangu kisha waweke lugha hiyo!?

Kwa hiyo hata hapo kwako unashikisha ukuta wanao na wajukuu hadi vitukuu wako!?

😱😱🙁😡🙁😡😳😳🙄🙄😵😵
 
Back
Top Bottom