Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
2,864
Reaction score
8,328
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
 
Uhaini upo kwenye Katiba ya JMT 1977, huyu ni yule mtu anayetaka kuipindua serikali, sasa ataipindua vipi serikali mtu asiye hata na rungu mkononi?

- Wajinga wanasema kwa maneno?! kumbe maneno siku hizi yanaweza kuvunja mfupa!.

Katiba hiyo hiyo inazungumzia maandamano kama njia ya kufikisha ujumbe kwa mtawala, hii ni haki ya mtanganyika.

Tatizo limekuja pale mtawala muovu ameanza kuogopa mpaka kivuli chake mwenyewe, hataki kuambiwa ukweli, kwasababu unamuuma, anajua ametusaliti, na tumeukataa usaliti wake.

Sasa ameamua kuwazuia wanaotaka kumfikishia ujumbe kwa njia ya maandamano, ameona awape kosa la uhaini, huyu msaliti aliyetoa bure rasilimali zetu milele, anataka kupigiwa makofi ya kupongezwa kwa unyama aliotufanyia na vizazi vyetu. Hapana.

Adv. Mwabukusi ujumbe wangu kwako; ile njia ya bonde la uvuli wa mauti uliyojua utapitishwa, sasa ndio unapita, STAY STRONG, I know ujumbe wangu unaupata in a very special way, stay strong. You are not alone.
 
Uhaini upo kwenye Katiba ya JMT 1977, huyu ni yule anayetaka kuipindua serikali, sasa ataipindua vipi serikali mtu asiye hata na rungu mkononi?

Katiba hiyo hiyo inazungumzia maandamano kama njia ya kufikisha ujumbe kwa mtawala, hii ni haki ya mtanganyika.

Tatizo limekuja pale mtawala muovu ameanza kuogopa mpaka kivuli chake mwenyewe, hataki kuambiwa ukweli, kwasababu unamuuma, anajua ametusaliti, na tumeukataa usaliti wake.

Sasa ameamua kuwazuia wanaotaka kunfikishia ujumbe kwa njia ya maandamano, ameona awape kosa la uhaini, huyu msaliti aliyetoa bure rasilimali yetu milele, anataka kupigiwa makofi ya kupongezwa kwa unyama aliotufanyia na vizazi vyetu. Hapana.
Samia mama yetu, hujachelewa kutenda lililo jema. Mungu yuko pamoja na walio wa haki
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Matatizo yakizidi neema inakaribia CCM Wameshapoteana
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Itajulikana Mahakamani ndiko kwenye kazi ya kujua mbivu na mbichi kuhusu sheria.

Uhaini siyo lazima mtu aende na kifaru au fighter jet, bali mipango tu ikidhihiri kuwa unataka kuitoa serikali halali nje ya sanduku la kura inatosha kuwa umepanga uhaini.

Akina Lugangira mwaka 1983 walikuwa hawana silaha na kwanza Lugangira mwenyewe alikuwa Uingereza. Lakini aliunganishwa na wenzie akina Hanspope kwenye mashtaka ya uhaini.

Kauli za Mwabukusi zilitoka kwenye mwelekeo wa kisheria na kuwa za kichochezi. Isitoshe alionywa kuhusu matamshi yake na akasema yeye Mahakamani ni kama chura na maji, haogopi. Kwa hiyo tusipotezeane muda humu maana amefika anapopataka.

Cc denooJ
 
Itajulikana Mahakamani ndiko kwenye kazi ya kujua mbivu na mbichi kuhusu sheria.

Uhaini siyo lazima mtu aende na kifaru au fighter jet, bali mipango tu ikidhihiri kuwa unataka kuitoa serikali halali nje ya sanduku la kura inatosha kuwa umepanga uhaini.

Akina Lugangira mwaka 1983 walikuwa hawana silaha na kwanza Lugangira mwenyewe alikuwa Uingereza. Lakini aliunganishwa na wenzie akina Hanspope kwenye mashtaka ya uhaini.

Kauli za Mwabukusi zilitoka kwenye mwelekeo wa kisheria na kuwa za kichochezi. Isitoshe alionywa kuhusu matamshi yake na akasema yeye Mahakamani ni kama chura na maji, haogopi. Kwa hiyo tusipotezeane muda humu maana amefika anapopataka.

Cc denooJ
Duh mipango ipi hiyo ya Mwabukusi kumhujumu rais?
 
Itajulikana Mahakamani ndiko kwenye kazi ya kujua mbivu na mbichi kuhusu sheria.

Uhaini siyo lazima mtu aende na kifaru au fighter jet, bali mipango tu ikidhihiri kuwa unataka kuitoa serikali halali nje ya sanduku la kura inatosha kuwa umepanga uhaini.

Akina Lugangira mwaka 1983 walikuwa hawana silaha na kwanza Lugangira mwenyewe alikuwa Uingereza. Lakini aliunganishwa na wenzie akina Hanspope kwenye mashtaka ya uhaini.

Kauli za Mwabukusi zilitoka kwenye mwelekeo wa kisheria na kuwa za kichochezi. Isitoshe alionywa kuhusu matamshi yake na akasema yeye Mahakamani ni kama chura na maji, haogopi. Kwa hiyo tusipotezeane muda humu maana amefika anapopataka.

Cc denooJ
Sina muda wa kufikiria cha kukujibu.
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
subiri uamuzi wa mahakama
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
chombo cha kutoa haki ni mahakama siyo rais.
 
Uhaini upo kwenye Katiba ya JMT 1977, huyu ni yule mtu anayetaka kuipindua serikali, sasa ataipindua vipi serikali mtu asiye hata na rungu mkononi?

- Wajinga wanasema kwa maneno?! kumbe maneno siku hizi yanaweza kuvunja mfupa!.

Katiba hiyo hiyo inazungumzia maandamano kama njia ya kufikisha ujumbe kwa mtawala, hii ni haki ya mtanganyika.

Tatizo limekuja pale mtawala muovu ameanza kuogopa mpaka kivuli chake mwenyewe, hataki kuambiwa ukweli, kwasababu unamuuma, anajua ametusaliti, na tumeukataa usaliti wake.

Sasa ameamua kuwazuia wanaotaka kumfikishia ujumbe kwa njia ya maandamano, ameona awape kosa la uhaini, huyu msaliti aliyetoa bure rasilimali zetu milele, anataka kupigiwa makofi ya kupongezwa kwa unyama aliotufanyia na vizazi vyetu. Hapana.

Adv. Mwabukusi ujumbe wangu kwako; ile njia ya bonde la uvuli wa mauti uliyojua utapitishwa, sasa ndio unapita, STAY STRONG, I know ujumbe wangu utaupata in a very special way, stay strong. You are not alone.
Hata wewe unayeitaja Tanganyika ni mhaini, maana una-plan kuiangusha serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania mtengeneze serikali ya hiyo nchi mnayoiita Tanganyika ambayo kimsingi haipo popote duniani, haipo kwenye ramani ya dunia. Jitokeze na wewe ushughulikiwe
 
Ukweli serikali ya CCM imeamua kututesa hadi Yesu atakaporejea, Watetezi wa wanyonge ndiyo mnawabambikia kesi za ajabu.
Hivyo ni nani anayemshauri Mama.
Aliwekwa kizuizini aliyekuwa rais wa Zanzibar Aboud Jumbe kwa kutaka kuvunja muungano, sembuse hao nyoko, huu muungano una mizizi mirefu sana siyo kuwavunjwa leo wala kesho. Mtakufa tu na sonona.
 
Back
Top Bottom