Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Jemima hakuna kitu kinampoteza mtu kama siasa, hakuna mtu tuliemtumainia katika taifa hili kama rais samia kipindi kile ana pokea madaraka!
Tulimtarajia kama mtu ambaye angetuvusha na kutoweka katika hali ambayo vizazi vingi vingkumbuka.

Maneno kauli nasaha katika hotuba zake kipindi kile zilitia matumaini makubwa sana.

Lakini haikupita mwaka badala yake tumepoteza matumaini na kuwa na majuto na kukumbuka jana, leo tunajilaumu sana kwa comment zetu za hisia za shangwe na furaha wakati wa taarifa zile la msiba, kumbe msiba ulikua ni kwetu leo.

Hii video japo imeundwa na kuongezewa vionjo lakini hakika huyu mheshimiwa hayati ulalika mbele ya wakati!
 
Kauli za Mwabukusi zilitoka kwenye mwelekeo wa kisheria na kuwa za kichochezi. Isitoshe alionywa kuhusu matamshi yake na akasema yeye Mahakamani ni kama chura na maji, haogopi. Kwa hiyo tusipotezeane muda humu maana amefika anapopataka
Kwa hoja hii tu ya kujichanganya mwenyewe umeonesha wewe ndiye walewale watawala na polisi wajinga na wapunbavu wasioijua Katiba na sheria yenyewe inayofafanua kosa la jinai likoje!
 
Unadhani wanaotaka kupindua wanaanzaje? Ni kauli tu!! Halafu Mwabukusi mwenyewe alisema haogopi Mahakama, kwanini nyie mashabiki zake mnapata mchecheto?

Mimi sio shabiki wa mtu! Ila nilipenda uzalendo wake kwa taifa lake..... Ngoja tuone
 
Nyie mdanganyeni Mama yenu na hizo kesi za michongo. Soon ataogopa hata usafiri nje ya nchi kuogopa maswali.... Labda Uarabuni kwa Wajomba zake.
Na nyie mdanganyeni Mdude na Mwabukusi waendelee na kejeli zao. Amani na utulivu kwa nchi hii ni ya muhimu kuliko hao mabazazi
 
Kwa hoja hii tu ya kujichanganya mwenyewe umeonesha wewe ndiye walewale watawala na polisi wajinga na wapunbavu wasioijua Katiba na sheria yenyewe inayofafanua kosa la jinai likoje!
Hao unaowaita Polisi wajinga na wapuumbavu na wasiojuwa katiba ndiyo wametuletea utulivu huu tulionao. Usicheze na chombo cha dola
 
Ukweli serikali ya CCM imeamua kututesa hadi Yesu atakaporejea, Watetezi wa wanyonge ndiyo mnawabambikia kesi za ajabu.
Hivyo ni nani anayemshauri Mama.
Yale ya Magu yanataka kuanza eti? Aliwaonea sana. Walivyo wapole, wakamlilia Mungu.
 
Back
Top Bottom