Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Mwanzo umesema Mungu atamuwajibisha kisha unasema yeye ni mkuu na hakuna wakukuwajibisha!
 
Kwaiyo huyu mwabukusi alitaka kumpindua raisi?????

Nyie ccm ni waoga sana wa hoja nzito mkiona mnashindwa kwa hoja mnakimbilia police na makesi ya hovyo.....

siku moja nyie mtakuwa pamoja na sisi na tutaongea kugha moja ni swala la wakati
Unadhani wanaotaka kupindua wanaanzaje? Ni kauli tu!! Halafu Mwabukusi mwenyewe alisema haogopi Mahakama, kwanini nyie mashabiki zake mnapata mchecheto?
 
Huyo Maalim Seif walisema ana nyaraka za siri za serikali

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Serikali ilishindwa kesi si kwasababu ilishindwa kuthibitisha tuhuma, ilishindwa kwa sababu ya procedure.
Alishtakiwa na
Serikali ya Zanzibar badala ya URT wakati SMZ haikua na Sheria hiyo iliyotumika kumshtaki.

Na ile ya uhaini walishinda kwa sababu Zanzbar haikua Dola, hivyo walishtakiwa kwa kosa ambako halipo kisheria.
 
Itajulikana Mahakamani ndiko kwenye kazi ya kujua mbivu na mbichi kuhusu sheria.

Uhaini siyo lazima mtu aende na kifaru au fighter jet, bali mipango tu ikidhihiri kuwa unataka kuitoa serikali halali nje ya sanduku la kura inatosha kuwa umepanga uhaini.

Akina Lugangira mwaka 1983 walikuwa hawana silaha na kwanza Lugangira mwenyewe alikuwa Uingereza. Lakini aliunganishwa na wenzie akina Hanspope kwenye mashtaka ya uhaini.

Kauli za Mwabukusi zilitoka kwenye mwelekeo wa kisheria na kuwa za kichochezi. Isitoshe alionywa kuhusu matamshi yake na akasema yeye Mahakamani ni kama chura na maji, haogopi. Kwa hiyo tusipotezeane muda humu maana amefika anapopataka.

Cc denooJ
Nyie mdanganyeni Mama yenu na hizo kesi za michongo. Soon ataogopa hata usafiri nje ya nchi kuogopa maswali.... Labda Uarabuni kwa Wajomba zake.
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Mambo ya kisiasa huwa hayatabiriki, si unaona Maendela alikaa jela for 27yrs kwani ni kweli alikua muhaini? Si alikua anpambania haki sawa kwa wote,Mwambukusi avumile na anaweza aachiwa 2030 baada ya Mama kumaliza muda wake!!
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
In wataka DP world's voice!!
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Itajulikana mahakamani.

Hata Bibi Titi alishikwa kwa uhaini wakati wa nyerere. Kesi za uhaini si mara ya kwanza Tanzania.
 
Aliwekwa kizuizini aliyekuwa rais wa Zanzibar Aboud Jumbe kwa kutaka kuvunja muungano, sembuse hao nyoko, huu muungano una mizizi mirefu sana siyo kuwavunjwa leo wala kesho. Mtakufa tu na sonona.
Ni kweli ni muungano kwa maslahi ya wazungu na waarabu ndio mizizi yenyewe.
 
Itajulikana Mahakamani ndiko kwenye kazi ya kujua mbivu na mbichi kuhusu sheria.

Uhaini siyo lazima mtu aende na kifaru au fighter jet, bali mipango tu ikidhihiri kuwa unataka kuitoa serikali halali nje ya sanduku la kura inatosha kuwa umepanga uhaini.

Akina Lugangira mwaka 1983 walikuwa hawana silaha na kwanza Lugangira mwenyewe alikuwa Uingereza. Lakini aliunganishwa na wenzie akina Hanspope kwenye mashtaka ya uhaini.

Kauli za Mwabukusi zilitoka kwenye mwelekeo wa kisheria na kuwa za kichochezi. Isitoshe alionywa kuhusu matamshi yake na akasema yeye Mahakamani ni kama chura na maji, haogopi. Kwa hiyo tusipotezeane muda humu maana amefika anapopataka.

Cc denooJ
Kiburi cha uzima na madaraka hiki
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Usihofu Mungu ataamua ugomvi soon usinung'unike wala usilie 🙏😭🤣😂 sana sana muombee toba na rehema watufudenge maana ni hakika Mungu ataamua ugomvi
 
Back
Top Bottom