Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

Ukweli serikali ya CCM imeamua kututesa hadi Yesu atakaporejea, Watetezi wa wanyonge ndiyo mnawabambikia kesi za ajabu.
Hivyo ni nani anayemshauri Mama.
aliyeshasema kwamba yeye na mwendazake ni kitu kimoja!
 
Uhaini upo kwenye Katiba ya JMT 1977, huyu ni yule mtu anayetaka kuipindua serikali, sasa ataipindua vipi serikali mtu asiye hata na rungu mkononi?

- Wajinga wanasema kwa maneno?! kumbe maneno siku hizi yanaweza kuvunja mfupa!.

Katiba hiyo hiyo inazungumzia maandamano kama njia ya kufikisha ujumbe kwa mtawala, hii ni haki ya mtanganyika.

Tatizo limekuja pale mtawala muovu ameanza kuogopa mpaka kivuli chake mwenyewe, hataki kuambiwa ukweli, kwasababu unamuuma, anajua ametusaliti, na tumeukataa usaliti wake.

Sasa ameamua kuwazuia wanaotaka kumfikishia ujumbe kwa njia ya maandamano, ameona awape kosa la uhaini, huyu msaliti aliyetoa bure rasilimali zetu milele, anataka kupigiwa makofi ya kupongezwa kwa unyama aliotufanyia na vizazi vyetu. Hapana.

Adv. Mwabukusi ujumbe wangu kwako; ile njia ya bonde la uvuli wa mauti uliyojua utapitishwa, sasa ndio unapita, STAY STRONG, I know ujumbe wangu unaupata in a very special way, stay strong. You are not alone.
watu wa usalama wana uelewa wa hali ya juu sana kuliko unavyofikiri, wako watu wazito nyuma ya huyo Mwabukusi, na kinga ni bora kuliko tiba. Vyombo vyetu lazima viwe makini sana na watu km hao mapema iwezekanavyo.
 
Yawezekana kulingana na katiba ya ccm kusema ukweli ni Uhaini. ila naona matokeeo yake yatakuwa haya
1691918561367.png
 
Walimsingizia Mbowe ugaidi, akaumbika gaidi halisi Hamza kada wa CCM,

Leo wanamsingizia Mwambukusi uhaini, watavuna wanachopanda.

Putino na Wagner, Wana ziara Afrika!!
 
Uhaini upo kwenye Katiba ya JMT 1977, huyu ni yule mtu anayetaka kuipindua serikali, sasa ataipindua vipi serikali mtu asiye hata na rungu mkononi?

- Wajinga wanasema kwa maneno?! kumbe maneno siku hizi yanaweza kuvunja mfupa!.

Katiba hiyo hiyo inazungumzia maandamano kama njia ya kufikisha ujumbe kwa mtawala, hii ni haki ya mtanganyika.

Tatizo limekuja pale mtawala muovu ameanza kuogopa mpaka kivuli chake mwenyewe, hataki kuambiwa ukweli, kwasababu unamuuma, anajua ametusaliti, na tumeukataa usaliti wake.

Sasa ameamua kuwazuia wanaotaka kumfikishia ujumbe kwa njia ya maandamano, ameona awape kosa la uhaini, huyu msaliti aliyetoa bure rasilimali zetu milele, anataka kupigiwa makofi ya kupongezwa kwa unyama aliotufanyia na vizazi vyetu. Hapana.

Adv. Mwabukusi ujumbe wangu kwako; ile njia ya bonde la uvuli wa mauti uliyojua utapitishwa, sasa ndio unapita, STAY STRONG, I know ujumbe wangu unaupata in a very special way, stay strong. You are not alone.
Maneno mengi kwenye keyboard, toka nje upinge kama wenzio
 
Uhaini upo kwenye Katiba ya JMT 1977, huyu ni yule mtu anayetaka kuipindua serikali, sasa ataipindua vipi serikali mtu asiye hata na rungu mkononi?

- Wajinga wanasema kwa maneno?! kumbe maneno siku hizi yanaweza kuvunja mfupa!.

Katiba hiyo hiyo inazungumzia maandamano kama njia ya kufikisha ujumbe kwa mtawala, hii ni haki ya mtanganyika.

Tatizo limekuja pale mtawala muovu ameanza kuogopa mpaka kivuli chake mwenyewe, hataki kuambiwa ukweli, kwasababu unamuuma, anajua ametusaliti, na tumeukataa usaliti wake.

Sasa ameamua kuwazuia wanaotaka kumfikishia ujumbe kwa njia ya maandamano, ameona awape kosa la uhaini, huyu msaliti aliyetoa bure rasilimali zetu milele, anataka kupigiwa makofi ya kupongezwa kwa unyama aliotufanyia na vizazi vyetu. Hapana.

Adv. Mwabukusi ujumbe wangu kwako; ile njia ya bonde la uvuli wa mauti uliyojua utapitishwa, sasa ndio unapita, STAY STRONG, I know ujumbe wangu unaupata in a very special way, stay strong. You are not alone.
We bwabwaja tu,mwenzio anabinywa kende aseme Tanganyika na watanganyika viko wapi!?..na Kwa namna gani atawashawishi watu wasilipe Kodi?...uhuru wa manyani,manyani mmepewa uhuru mmeonesha unyani wenu
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
MENE MENE TEKELI & PERESI

Haya maandishi ukutani hata JPM aliambiwa hivyo, na akayapuuzia. Yaliandikwa kupitia matendo ya akina Kingai na Wambura hawa hawa.

Mama ukifanya dhuluma juu ya wenye haki kutokana tu na ubinafsi na tamaa za mali ya umma, ama kwa hakika utaanguka tu. Sauti ya mwenye haki ni sauti ya Mungu, basi na utambue kilio cha mwenye haki ni hasara yako wewe mwenyewe.
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
CCM imeishiwa pumzi
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Unayemuongelesha anaamini wasaidiizi wake wote ni nusu malaika nusu mitume. Hawana hila, makosa wala nia ovu.....


Tusubiri uchaguzi tumuongeleshe vizuri kwa kura zetu
 
Unayemuongelesha anaamini wasaidiizi wake wote ni nusu malaika nusu mitume. Hawana hila, makosa wala nia ovu.....


Tusubiri uchaguzi tumuongeleshe vizuri kwa kura zetu
Kwa tume ipi ya uchaguzi?
 
MENE MENE TEKELI & PERESI

Haya maandishi ukutani hata JPM aliambiwa hivyo, na akayapuuzia. Yaliandikwa kupitia matendo ya akina Kingai na Wambura hawa hawa.

Mama ukifanya dhuluma juu ya wenye haki kutokana tu na ubinafsi na tamaa za mali ya umma, ama kwa hakika utaanguka tu. Sauti ya mwenye haki ni sauti ya Mungu, basi na utambue kilio chake ni hasara yako wewe mwenyewe.
Her days are numbered
 
We bwabwaja tu,mwenzio anabinywa kende aseme Tanganyika na watanganyika viko wapi!?..na Kwa namna gani atawashawishi watu wasilipe Kodi?...uhuru wa manyani,manyani mmepewa uhuru mmeonesha unyani wenu
Nyani babayo
 
watu wa usalama wana uelewa wa hali ya juu sana kuliko unavyofikiri, wako watu wazito nyuma ya huyo Mwabukusi, na kinga ni bora kuliko tiba. Vyombo vyetu lazima viwe makini sana na watu km hao mapema iwezekanavyo.
Hawa usalama wanaoajiriwa kwa vimemo? Kisa baba ni kada wa chama?
 
Back
Top Bottom