Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Alisema ataiangusha Serikali JMT ya Awamu ya Sita kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2025. Huo sio uhaini? Tena akisamehewa sana, anatakiwa kufungwa kifungo cha maisha Ili wengine watie akili! Shwain!!!!
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
wahaini ni waliomkamata mwambukusi kutetea masilahi ya wananchi wasio na sauti
 
Mamlaka inalazimisha m***du kutafuna Mua. Inajaribu kulazimisha mitaa ikubaliane na vitu ambavyo sio sahihi. Naona wanazidi kumuingiza mama Chaka,nyota inazidi kufifia tu.
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Sio mhaini msikilize ujilidhishe mwenyewe kama kinachodaiwa ni uhaini
 
Mama wala hausiki na kazi za usalama, yeye mwenyewe analindwa na watu wa usalama.



Haiwezi kueleweka.

Yeye ndiye Supreme Leader,

Yeye ndiye kiongozi wa hao Viongozi wa usalama,

Mambo yakiharibika kwenye familia Baba na mama Kama kiongozi Mkuu Ndiyo hulaumiwa, huwezi kusema amekosea Mtoto wangu yule mkubwa n.k.

Serikali kama taasisi ina CEO wake.
 
Haiwezi kueleweka.

Yeye ndiye Supreme Leader,

Yeye ndiye kiongozi wa hao Viongozi wa usalama,

Mambo yakiharibika kwenye familia Baba na mama Kama kiongozi Mkuu Ndiyo hulaumiwa, huwezi kusema amekosea Mtoto wangu yule mkubwa n.k.

Serikali kama taasisi ina CEO wake.
Mama yenu anahusika katika ukamilifu wake

Tazama huyu wakili wakati anaongea baada ya hukumu kuna jinai gani imetendeka?
 
Itajulikana Mahakamani ndiko kwenye kazi ya kujua mbivu na mbichi kuhusu sheria.

Uhaini siyo lazima mtu aende na kifaru au fighter jet, bali mipango tu ikidhihiri kuwa unataka kuitoa serikali halali nje ya sanduku la kura inatosha kuwa umepanga uhaini.

Akina Lugangira mwaka 1983 walikuwa hawana silaha na kwanza Lugangira mwenyewe alikuwa Uingereza. Lakini aliunganishwa na wenzie akina Hanspope kwenye mashtaka ya uhaini.

Kauli za Mwabukusi zilitoka kwenye mwelekeo wa kisheria na kuwa za kichochezi. Isitoshe alionywa kuhusu matamshi yake na akasema yeye Mahakamani ni kama chura na maji, haogopi. Kwa hiyo tusipotezeane muda humu maana amefika anapopataka.

Cc denooJ
Exactly
 
Nilisema Toka awali.

Mbumbumbu wa akili apatapo mamlaka, Huwa anatumia nguvu zake zote za kimamlaka, kujihakikishia mamlaka yake.
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Huyu ni raisi aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura sasa anaogopa kuondolewa kwa njia halali
 
Sisi wengine tupo tu na popcorn zetu hapa.

Hao akina Mbowe&Co walifutiwa kesi zao ili kuhalalisha tu kuwafutia kesi wale masheikh wa zanzibar (UAMSHO).

Ndezi mkapiga mapambio "Mama this Mama that,kiko wapi?

Na huu ni mwanzo tu,TISS wamepewa kinga dhidi ya mashtaka,wa mitandaoni kaeni radar bila VPN usi-log in popote.
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Itajulikana mahakamani
 
Back
Top Bottom