Usihofu Mungu ataamua ugomvi soon usinung'unike wala usilie 🙏😭🤣😂 sana sana muombee toba na rehema watufudenge maana ni hakika Mungu ataamua ugomviNabii Lema alimuonya mtu hivi hivi akashipaza shingo. Matokeo ......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usihofu Mungu ataamua ugomvi soon usinung'unike wala usilie 🙏😭🤣😂 sana sana muombee toba na rehema watufudenge maana ni hakika Mungu ataamua ugomviNabii Lema alimuonya mtu hivi hivi akashipaza shingo. Matokeo ......
Alisema ataiangusha Serikali JMT ya Awamu ya Sita kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2025. Huo sio uhaini? Tena akisamehewa sana, anatakiwa kufungwa kifungo cha maisha Ili wengine watie akili! Shwain!!!!Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.
Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.
Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
wahaini ni waliomkamata mwambukusi kutetea masilahi ya wananchi wasio na sautiMama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.
Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.
Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
kwan ccm iliwahi kushinda kwenye kura ya maboxHaya mkayaone hayo 2025 muwanyime kura
Sio mhaini msikilize ujilidhishe mwenyewe kama kinachodaiwa ni uhainiMama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.
Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.
Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Mama wala hausiki na kazi za usalama, yeye mwenyewe analindwa na watu wa usalama.
Mama yenu anahusika katika ukamilifu wakeHaiwezi kueleweka.
Yeye ndiye Supreme Leader,
Yeye ndiye kiongozi wa hao Viongozi wa usalama,
Mambo yakiharibika kwenye familia Baba na mama Kama kiongozi Mkuu Ndiyo hulaumiwa, huwezi kusema amekosea Mtoto wangu yule mkubwa n.k.
Serikali kama taasisi ina CEO wake.
ExactlyItajulikana Mahakamani ndiko kwenye kazi ya kujua mbivu na mbichi kuhusu sheria.
Uhaini siyo lazima mtu aende na kifaru au fighter jet, bali mipango tu ikidhihiri kuwa unataka kuitoa serikali halali nje ya sanduku la kura inatosha kuwa umepanga uhaini.
Akina Lugangira mwaka 1983 walikuwa hawana silaha na kwanza Lugangira mwenyewe alikuwa Uingereza. Lakini aliunganishwa na wenzie akina Hanspope kwenye mashtaka ya uhaini.
Kauli za Mwabukusi zilitoka kwenye mwelekeo wa kisheria na kuwa za kichochezi. Isitoshe alionywa kuhusu matamshi yake na akasema yeye Mahakamani ni kama chura na maji, haogopi. Kwa hiyo tusipotezeane muda humu maana amefika anapopataka.
Cc denooJ
Huyu ni raisi aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura sasa anaogopa kuondolewa kwa njia halaliMama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.
Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.
Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Kura gani alipigiwa au rais wa ajali?Huyu ni raisi aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura sasa anaogopa kuondolewa kwa njia halali
Kwa hiyo JPM alikuwaje?Nilisema Toka awali.
Mbumbumbu wa akili apatapo mamlaka, Huwa anatumia nguvu zake zote za kimamlaka, kujihakikishia mamlaka yake.
Mtateseka sana na bado. Samia ndo Rais wako hadi 2030 upende usipendeKura gani alipigiwa au rais ya ajali?
Itajulikana mahakamaniMama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.
Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.
Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Alikuwa mgombea mwenza wa marehemu shetani mkuuKura gani alipigiwa au rais ya ajali?
SawaItajulikana mahakamani
Sawa kama ana maagano ya damu na mpangajiMtateseka sana na bado. Samia ndo Rais wako hadi 2030 upende usipende