Katika hotuba ya Rais Samia Suluhu leo amegusia suala la migogoro la ardhi amesema kuwa:
"Wakati wananchi wanavamia maeneo, wanasiasa hatuwaambii wananchi ukweli, tunawaangalia wakivamia na badala yake tunakuja kusimama kutetea wavamizi wa maeneo yale [..] lengo ni kupata kura huko baadaye wasikuone wewe ni mbaya.” Rais Samia Suluhu
Rais Samia Suluhu anaendelea kuhakikisha wananchi hawaingii katika migogoro ya ardhi na Wizara ya ardhi ikishilikiana na mawaziri mbalimbali wapatao sita walianza ziara kuzuka katika vijiji zaidi ya 900 ili kutatua migogoro ya ardhi.
"Wakati wananchi wanavamia maeneo, wanasiasa hatuwaambii wananchi ukweli, tunawaangalia wakivamia na badala yake tunakuja kusimama kutetea wavamizi wa maeneo yale [..] lengo ni kupata kura huko baadaye wasikuone wewe ni mbaya.” Rais Samia Suluhu
Rais Samia Suluhu anaendelea kuhakikisha wananchi hawaingii katika migogoro ya ardhi na Wizara ya ardhi ikishilikiana na mawaziri mbalimbali wapatao sita walianza ziara kuzuka katika vijiji zaidi ya 900 ili kutatua migogoro ya ardhi.