Kiteitei
JF-Expert Member
- Jan 14, 2009
- 1,595
- 1,540
Naomba kufahamu,
Nina kijana wangu wa shamba aliumia kidole last week kwa kuangukiwa na pipa,sasa leo nimekwenda shamba nakuta bado kidole hakijapona vizuri nikaonelea nimpeleke hospitali, nimemshusha hosp kufuatilia vitu vingine, kurudi namkuta anasubiria kuingia maabara na mojawapo ya vipimo alivyoandikiwa ni hiv test, nikamuuliza nesi/dokta kwa nini, akanijibu kuwa kila kijana lazima wampime hata kama hataki majibu, nikamuuliza taratibu najua lazima kabla mtu hajapimwa aandaliwe kisaikolojia kwa nini haiko hivyo?
Jibu alilonipa ni kuwa kila mtu siku hizi yuko anajua...hapa niko kwenye benchi namsubiria kijana atoke huko ndani....wakuu naomba kuuliza je ni sahihi kupima bila hiyari na bila councelling?
Nina kijana wangu wa shamba aliumia kidole last week kwa kuangukiwa na pipa,sasa leo nimekwenda shamba nakuta bado kidole hakijapona vizuri nikaonelea nimpeleke hospitali, nimemshusha hosp kufuatilia vitu vingine, kurudi namkuta anasubiria kuingia maabara na mojawapo ya vipimo alivyoandikiwa ni hiv test, nikamuuliza nesi/dokta kwa nini, akanijibu kuwa kila kijana lazima wampime hata kama hataki majibu, nikamuuliza taratibu najua lazima kabla mtu hajapimwa aandaliwe kisaikolojia kwa nini haiko hivyo?
Jibu alilonipa ni kuwa kila mtu siku hizi yuko anajua...hapa niko kwenye benchi namsubiria kijana atoke huko ndani....wakuu naomba kuuliza je ni sahihi kupima bila hiyari na bila councelling?