Je, ni lini wanafunzi wa vyuo wataacha kujamiiana kwenye dabo deka?

Je, ni lini wanafunzi wa vyuo wataacha kujamiiana kwenye dabo deka?

secretarybird

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
2,998
Reaction score
4,948
Tupo katika kipindi ambacho wahitimu wa kidato cha sita wanatarajia kujiunga na vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini. Swali ni kwamba wanachuo watarajiwa wameandaliwa mazingira mazuri ya malazi?

Ikumbukwe kule vyuoni Kuna baadhi ya wanafunzi wamekuwa wakifanya mapenzi kiholela katika vitanda vya chuo kiasi cha kufanya manii pamoja na uchafu mwingine utokanao na kupelekeana mioto kutapakaa katika magodoro na magodoro hayo ndiyo yatakayokuwa yakitumiwa na fist year.

Wasomi wa siku hizi wamekuwa vichwa maji, wamekuwa na upeo mdogo mno na tumekuwa tukiwalaumu Kila kukicha bila kuangalia tatizo ni nini.

Binafsi nahisi tatizo kubwa ni kwamba ule mchanganyiko wa harufu kali ya miaka na miaka itokanayo na shahawa pamoja na uchafu mwingine usiomithilika kwenye vitanda wanavyolalia vyuoni ndio unaoathiri ubongo wa wasomi wa siku hizi. Kama taifa tunatakiwa kuliangalia hili Kwa kina.
 
Wakat nipo chuo miaka hiyo nilianza first year nikakaa hostel sas usiku nilikua naenda kusoma na manz mmoja sass hio sku tukachelewa kwenda class hivyo tukakaa had saa tisa inshort nilimuinamisha mulemule darasan nikapiga viwili Safi kabsa.
 
Tupo katika kipindi ambacho wahitimu wa kidato cha sita wanatarajia kujiunga na vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini. Swali ni kwamba wanachuo watarajiwa wameandaliwa mazingira mazuri ya malazi?

Ikumbukwe kule vyuoni Kuna baadhi ya wanafunzi wamekuwa wakifanya mapenzi kiholela katika vitanda vya chuo kiasi cha kufanya manii pamoja na uchafu mwingine utokanao na kupelekeana mioto kutapakaa katika magodoro na magodoro hayo ndiyo yatakayokuwa yakitumiwa na fist year.

Wasomi wa siku hizi wamekuwa vichwa maji, wamekuwa na upeo mdogo mno na tumekuwa tukiwalaumu Kila kukicha bila kuangalia tatizo ni nini.

Binafsi nahisi tatizo kubwa ni kwamba ule mchanganyiko wa harufu kali ya miaka na miaka itokanayo na shahawa pamoja na uchafu mwingine usiomithilika kwenye vitanda wanavyolalia vyuoni ndio unaoathiri ubongo wa wasomi wa siku hizi. Kama taifa tunatakiwa kuliangalia hili Kwa kina.
Hivyo basi serikali inatakiwa kuongeza kiasi cha TSh 80k kwenye Boom kwa ajili ya wanafunzi kukodi vyumba vya kulala wageni ili kunyanduliana. Tutawalipa punde tu baada ya kupata ajira
 
Vyuo vingi vitafunguliwa mwezi wa 11 mwanzoni so tunaomba tujulishwe ni lini vyuo hivyo vitakomesha tabia hizo.

Ni hayo tu.
Acheni kuwaharibia wenzenu. Ungekuwa ni wewe ukitymia njia ipi salama ya kutoa upwiru?
 
Back
Top Bottom