Je, ni lini wanafunzi wa vyuo wataacha kujamiiana kwenye dabo deka?

Je, ni lini wanafunzi wa vyuo wataacha kujamiiana kwenye dabo deka?

Unaweza kukuta watu wanalimega tunda huku wamezungushia kitanda shuka halafu wengine wako hapohapo wanapiga story, duh hii ni sodoma.
Kama wanachuo ndo wamefikia hapa, sisi kama taifa tuna kazi ya ziada ya kuishikilia hii Jamhuri

Lakini suluhisho la haya yote ni 2025
 
Magodoro mapya si yapo, viwanda vinazalisha kila siku msipoyanunua wao wayapeleke wapi?Hayo yauzwe kama magodoro used.
Yap ... Vyuo vingekuwa na akili haya yaliyotumika yauzwe kama used then first year wapewe mapya maana SI wanalipa accomodations......
Lakini bongo Sasa....
 
Unaweza kukuta watu wanalimega tunda huku wamezungushia kitanda shuka halafu wengine wako hapohapo wanapiga story, duh hii ni sodoma.
Sijawahi kuwa na ujasiri wa aina hii, labda kama huyo mwanamke simpendi ila pia self esteem yangu haiko chini namna hiyo. That shit needs privacy.

Imagine unapiga tako zako up and down halafu kuna wahuni wako on the other side wanakutizama? Atleast angekuwa dame mwenzie hapo freshi ila unaikatia nyuno manzi infront of other motherfuckaz thats a NO to me!
 
Yap ... Vyuo vingekuwa na akili haya yaliyotumika yauzwe kama used then first year wapewe mapya maana SI wanalipa accomodations......
Lakini bongo Sasa....
Nakumbuka miaka ya nyuma jinsi mtoto wa kike wa mchungàji niliyekuwa nasoma naye alivyopata mimba akiwa chuo na kumdanganya baba yake (mchungàji) kwa kudai kuwa hajawahi kufanya mapenzi lakini alipata mimba baada ya kulala kwenye godoro lililokuwa na manii ya watu waliojamiiana, eti alipolala alilamba godoro kwa bahati mbaya akameza mate ndipo safari ya mimba yake ilianzia hapa.
Mchungàji naye alipigilia msumari kwa kuambatanisha Ile mimba na shetani.

Shetani akisafiria atasingiziwa nani?
 
  • Kicheko
Reactions: rr4
Back
Top Bottom