Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Kama wanachuo ndo wamefikia hapa, sisi kama taifa tuna kazi ya ziada ya kuishikilia hii JamhuriUnaweza kukuta watu wanalimega tunda huku wamezungushia kitanda shuka halafu wengine wako hapohapo wanapiga story, duh hii ni sodoma.
😂😂Na wanakuwa na wivu sana, wale walinzi wa pale Mabibo Hostel, wasikufume na pisi kule uwanjani usiku, wanaona unafaidi. Mmoja wao alinidaka kule gorini gizani nachumisha matembele, bila 50k ningeozea segereaWe jamaa unaonekana waden au mlinzi wa bweni maana si kwa kukasirika huko🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakimaliza chuo watahamia kwenye majumba mabovu na chooni na mahousegirl na mahouseboy
Alikukomeshaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wanakuwa na wivu sana, wale walinzi wa pale Mabibo Hostel, wasikufume na pisi kule uwanjani usiku, wanaona unafaidi. Mmoja wao alinidaka kule gorini gizani nachumisha matembele, bila 50k ningeozea segerea
Hebu tueleze enzi zako ilikuwaje, uliwahi kufanya ule mchezo kwenye dabo deka.Alikukomeshaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yap ... Vyuo vingekuwa na akili haya yaliyotumika yauzwe kama used then first year wapewe mapya maana SI wanalipa accomodations......Magodoro mapya si yapo, viwanda vinazalisha kila siku msipoyanunua wao wayapeleke wapi?Hayo yauzwe kama magodoro used.
Sijawahi kuwa na ujasiri wa aina hii, labda kama huyo mwanamke simpendi ila pia self esteem yangu haiko chini namna hiyo. That shit needs privacy.Unaweza kukuta watu wanalimega tunda huku wamezungushia kitanda shuka halafu wengine wako hapohapo wanapiga story, duh hii ni sodoma.
Nakumbuka miaka ya nyuma jinsi mtoto wa kike wa mchungàji niliyekuwa nasoma naye alivyopata mimba akiwa chuo na kumdanganya baba yake (mchungàji) kwa kudai kuwa hajawahi kufanya mapenzi lakini alipata mimba baada ya kulala kwenye godoro lililokuwa na manii ya watu waliojamiiana, eti alipolala alilamba godoro kwa bahati mbaya akameza mate ndipo safari ya mimba yake ilianzia hapa.Yap ... Vyuo vingekuwa na akili haya yaliyotumika yauzwe kama used then first year wapewe mapya maana SI wanalipa accomodations......
Lakini bongo Sasa....