Je, ni Maruhani ya kiarabu kutoka kwa kocha yanaisaidia Yanga?

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311

Mtangazaji mahili wa soccer hapa nchini bwana Oscar Oscar, eweka wazi kwamba kitu wanachoweza yanga ni uchawi na ushirikina.

Ikumbukwe kuwa akina mzee Mpili walijaribu kuiroga simba lakini hawakufua dafu.

Tuseme kwa sasa maruhani kutoka warabuni yameingizwa!? Maana tunajua wenzetu kwa ushirikina na ulozi hawajambo. Je, ni ya kweli yanayosemwa kwenye mitandao!? Eti ni kweli kocha anatumia maruhani, kwamba kwenye nchi za kiarabu ameshindwa kutokana na kwamba wote wanayajua!?

Mimi yangu hayo machache nimeyasikia kwenye mitandao.
 
Mzee anayezungumza na malaika!

Mkuu jichunguze, unaweza kuta umekata network mdogo mdogo!
 
Mimi sio football fan, lakini niulize tu swali.... kama maruhani ya kiarabu yangekuwa na hizo nguvu si tungeshasikia teams na players toka uarabuni ndo wanabeba ndoo zote za maana kuanzia world cup mpaka ......
 
Oscar anachangamsha genge muanzisha mada. Siku nyingine hata sie Simba huwa anatuandika anavyojisikia. Ni ana sherehesha mambo hupaswi kuyachukulia serious..we tabasamu jikatae na mambo yako.
 

Uongo mtupu, ni falsafa ya kocha, ukweli ni kwamba mmepata jembe.
 
makolo watakufa msimu huuu!waache kukariri maisha!!YANGA hii sio ya miaka minne nyuma!!una Aucho, Bangala, Fei toto, Mayele etc unategemea kushindwa kweli???
Jiwe alituharibia manjo wetu akampaisha mo ukwaju sasa kinaenda kuelewekaaa[emoji23][emoji23] jiesemu fo evelibade

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Nilisema mimi huyu mtoa mada hebu kaeni nae karibu
Atajitundika huyu kama mwenzie wa mbeya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…