Play Station.
Daaah umenikumbusha mbali sana,
PS 1, Nintendo 64, Game Boy, Sega Genesis....
Game Boy unaondoka na betri kumkomoa mtu.
Wakati ule ilikuwa inauzwa 1500.
unasahau vip super MarioDaaah umenikumbusha mbali sana,
PS 1, Nintendo 64, Game Boy, Sega Genesis....
unasahau vip super Mario
Nyie mtakuwa mmezaliwa miaka ya tisini na kuendelea.sisi wa themanini kurudi nyuma hakukuwa na vitu hivyoo. Lazima ucheze baba na mama au kombolela au utengeneze bunduki za mabomba ya mipapai au mpira alimaarufu cha ndimu nowadaysDaaah umenikumbusha mbali sana,
PS 1, Nintendo 64, Game Boy, Sega Genesis....
Loo..l hii ilikuwa ya wote kweli wote wa kiume na wakike humohumoo, mmoja akidaka wote mnatakiwa mganderede ya wote [emoji23][emoji23][emoji23]
ukiganduka kabla ya mdakaji kusema ganduka basi unatolewa, wa kwanza na wa mwsho kubabuliwa wanazinga [emoji23][emoji23], mchezo wa kijinga kweli mana wachezaji wanafika hata hamsiniLoo..l hii ilikuwa ya wote kweli wote wa kiume na wakike humohumoo, mmoja akidaka wote mnatakiwa mgande
ukiganduka kabla ya mdakaji kusema ganduka basi unatolewa, wa kwanza na wa mwsho kubabuliwa wanazinga [emoji23][emoji23], mchezo wa kijinga kweli mana wachezaji wanafika hata hamsini