Kama haukuwa mtoto wa geti kali lazima michezo mingi ya utotoni utakuwa unaikumba binafsi nilikuwa napenda michezo mitatu tu ambayo ni;
1. Michezo ya vita hapo unaashumu wewe ni Rambo ukiwa na bunduki ya mabomba ya mipapai.
2. Komborela
3. Mpira huku magoli yakiwa ndala au mawe.
Je, wewe ulikuwa unapenda michezo gani?
1. Michezo ya vita hapo unaashumu wewe ni Rambo ukiwa na bunduki ya mabomba ya mipapai.
2. Komborela
3. Mpira huku magoli yakiwa ndala au mawe.
Je, wewe ulikuwa unapenda michezo gani?