Hata mimi huu huuMchezo wa baba na mama
Wew hamna gameboy inayouzwa 1500 hizo zilikua brick game ,, game boy zilikua Bei sana kipnd kile Na Mpaka SaiviGame Boy unaondoka na betri kumkomoa mtu.
Wakati ule ilikuwa inauzwa 1500.
Huu ni ukweli usiofichika [emoji28] [emoji28]Daa Matoto ya saiv ni kama mabroila.na washavutiwa na mambo ya kisasa kama kuspend muda wote ktk tv
mtaani kwetu tulikuwa tunatumia mawe na matofali katika kuluka sarakasi yani unaweka tofari juu ya jiwe dizaini flani hivi ya mteremko halafu vijana mnajipanga sasa ilikuwa ni nomaNakumbuka mtaani kwetu ilikuwa tushinde ama tufungwe lazima tuondoke na mpira wa wenzetu.. Kuna siku wakatutegea wakaja na mabroo zao kidogo tule kichapo... Komborela sie ilikuwa kucheza moda flani hivi kuanzia saa moja hapo mtu akizinga ujue ndo imekula kwako manake watu wanaweza wakazamia kwenda kwao we bado upo unazinga tu...ukirudi kwenu umechelewa bakora... Afu kuna sarakasi..hii kama we mtoto wa kiume afu hujui sarakasi unaitwa dada.. Sarakasi mnatumia tairi ya scania kurukia.. Enzi hizo kulikuwa na michezo mingi mno... Afu ile umeme ukatike sasa ukirudi mtaa mzima unaskia :hhuuuuoooooo.....watu wanapiga madebe kabisa kushangilia umeme..
nguo za spesho ilikuwa kuvaa mpaka kwenda kanisani au skukuu baada ya hapo zinarudishwa kabatini halafu nguo unaweza ukanunuliwa hata wiki tatu kabla ya skukuu ila kuzivaa mpaka hiyo skukuu ifike tena mida ya mchana kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23] spesheli za kanisani mkuu!!! Tena zipo kabatini kwa mama, unapewa jumapili asubuhi, ukirudi unazirudisha
Wazazi wetu bana!!! [emoji23][emoji23][emoji23]n
nguo za spesho ilikuwa kuvaa mpaka kwenda kanisani au skukuu baada ya hapo zinarudishwa kabatini halafu nguo unaweza ukanunuliwa hata wiki tatu kabla ya skukuu ila kuzivaa mpaka hiyo skukuu ifike tena mida ya mchana kabisa.
unanunua chipsi kabla ya kula unasema hakiombeki ili usizungukwe au usiombwe na mtu yoyote yule utoto ulikuwa raha sana.Hahahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] afu nakumbuka kulikuaga na ile "hakiombeki"
Mtu anannua kitu afu anakuwahi hakiombeki
Paprika tufute urafiki[emoji28]Wazaze wetu bana!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha! Tupinge banaPaprika tufute urafiki[emoji28]
Aya tupinge. HahahaaaHahaha! Tupinge bana
au panga panguaNimemiss sana mpira wa utotoni. Jioni watoto kibao mnakujikusanya, afu mnaanza 'kujigawa' au huyu anaita huku mwingine huku. Wasiojua mpira wanabaki mwishoo [emoji23][emoji23]
Watu wakiwa wengi sana inapigwa 'timu kutoka', mkifungwa mnatoka.
Kama timu moja ikiwa pungufu mnaambiwa mtu akija anaingia kwenu afu gemu inaendelea kama kawa. Utoto bana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huo msemo wa panga pangua nliiusahau. Nimecheka sana mkuuau panga pangua
Kwenye panga pangua timu 1 inaweza kubahatika ikawa na mafundi wengiiiau panga pangua
Na walikua wanaringaaa!Aya tupinge. Hahahaaa
Enzi hizo usiombe mtu mwenye tv kwao akwambie mfute urafiki. Lazima uwe mpole
Walikua wanajua mtu lazima ubembeleze urafiki kwake. Ole wako uwe na kitu afu umnyime, utaskia na usije kwetu [emoji23] [emoji23]Na walikua wanaringaaa!
Njia nzuri ni ile ya kuchagua. Viongozi wawili wa timu wanapokezana kuchagua... Sasa hapo ndo unajua uhodari wako. Kulikua na watu wanakataliwa adi huruma! Mi walikua wananikataa kwenye rede [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Kwenye panga pangua timu 1 inaweza kubahatika ikawa na mafundi wengiii