Je, ni mchezo gani utotoni ulipenda kucheza na wenzako?

Je, ni mchezo gani utotoni ulipenda kucheza na wenzako?

Kweli we mtaalamu sana.umenikumbusha mbali niliwah kuwekewa bonge la jiwe nikalibutua sits sahau ngoz ya kidole gumba ikatoka pamoja na ukucha nililia sana isitoshe niliporud nyumban tu nikafinywa kwa uzembe na kurud usiku.
 
Kabisa!
Hii michezo saizi imepotea kabisa.

Mimi nimecheza karibia michezo yote,ukuti ukuti,Baba na mama,kombolera,"Senta",kubwa zaidi ambalo halitafutika kwa ubongo wangu-Nikiwa na miaka kama sita hivi tulifungishwa ndoa mimi na binti mmoja (kwakweli alikuwa anamuonekano uliobora na wakuvutia) ilifanyika sherehe moja matata sana ambayo ilipangwa na rika letu tu, mimi na suti na yeye na shela haha Mtaa mzima ulizizima mpaka watu wazima walipigwa na butwaa.

AISEE nikiikumbuka siku hii huwa nacheka mwenyewe moyoni,binti huyo hata Sijui yuko wapi Manaake Familia zilitawanyika.
Yaani saivi mitaa kimya!!! Enzi hizo kunakua na mashindano ya mpira wa miguu kwa wavulana au rede kwa wasichana. Watoto mnafunga safari mpaka mtaa wa kumi huko.... Sa mkishinda hizo fujo zake akati mnarudi!!! Adi raha.
 
Afu kulikua na ule "kioo kioo, alikivunja nani, wa mwisho akamatwe, atiwe gerezani"
Na mwingine uliokua unachezwa sana ulikua ni ule "nivunje kikombe nsivunje?" Watu vunjaaaaa...
Mwenzenu Paprika...
Watu: enheeeeeee
Mchumba akeeee
Watu: enheeeeee
Ni danhosnoop......
Watu: weweeeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabla ya kutaja unaitwa mafichoni kuulizwa mchumba ako nani!!! Basi na aibu tele unamnong'oneza "danhosnoop"
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daa Matoto ya saiv ni kama mabroila.na washavutiwa na mambo ya kisasa kama kuspend muda wote ktk tv
 
Yaani saivi mitaa kimya!!! Enzi hizo kunakua na mashindano ya mpira wa miguu kwa wavulana au rede kwa wasichana. Watoto mnafunga safari mpaka mtaa wa kumi huko.... Sa mkishinda hizo fujo zake akati mnarudi!!! Adi raha.
Nakumbuka mtaani kwetu ilikuwa tushinde ama tufungwe lazima tuondoke na mpira wa wenzetu.. Kuna siku wakatutegea wakaja na mabroo zao kidogo tule kichapo... Komborela sie ilikuwa kucheza moda flani hivi kuanzia saa moja hapo mtu akizinga ujue ndo imekula kwako manake watu wanaweza wakazamia kwenda kwao we bado upo unazinga tu...ukirudi kwenu umechelewa bakora... Afu kuna sarakasi..hii kama we mtoto wa kiume afu hujui sarakasi unaitwa dada.. Sarakasi mnatumia tairi ya scania kurukia.. Enzi hizo kulikuwa na michezo mingi mno... Afu ile umeme ukatike sasa ukirudi mtaa mzima unaskia :hhuuuuoooooo.....watu wanapiga madebe kabisa kushangilia umeme..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabla ya kutaja unaitwa mafichoni kuulizwa mchumba ako nani!!! Basi na aibu tele unamnong'oneza "danhosnoop"
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka tulimfungisha ndoa mdogo angu na jirani na wakavalishana pete tumetengeneza na majani. Neti ndo tukatumia kama shela [emoji23][emoji23][emoji23]. Baada ya ndoa kuna kakibanda tulijenga na miti eti wakaingia huko no honeymoon...
Mpaka leo dogo ana uhusiano wa kipekee na huyu binti, sijui waliendelezaga honeymoon!!!?
Daah. Nyie mlitisha sana. Kwa kweli mimi honey moon nimekuja kuijua ukubwani
 
Nakumbuka mtaani kwetu ilikuwa tushinde ama tufungwe lazima tuondoke na mpira wa wenzetu.. Kuna siku wakatutegea wakaja na mabroo zao kidogo tule kichapo... Komborela sie ilikuwa kucheza moda flani hivi kuanzia saa moja hapo mtu akizinga ujue ndo imekula kwako manake watu wanaweza wakazamia kwenda kwao we bado upo unazinga tu...ukirudi kwenu umechelewa bakora... Afu kuna sarakasi..hii kama we mtoto wa kiume afu hujui sarakasi unaitwa dada.. Sarakasi mnatumia tairi ya scania kurukia.. Enzi hizo kulikuwa na michezo mingi mno... Afu ile umeme ukatike sasa ukirudi mtaa mzima unaskia :hhuuuuoooooo.....watu wanapiga madebe kabisa kushangilia umeme..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wakaka walikua wanapenda kuona wadada wanapiga sarakasi! Si sketi au gauni zinafunuka basi wanaona chupi na kufurahi!!!
 
Yaani saivi mitaa kimya!!! Enzi hizo kunakua na mashindano ya mpira wa miguu kwa wavulana au rede kwa wasichana. Watoto mnafunga safari mpaka mtaa wa kumi huko.... Sa mkishinda hizo fujo zake akati mnarudi!!! Adi raha.
Hata Sijui wameingiliwa na mdudu gani kichwani labda huu utandawazi watoto wanashinda wakicheza game na tv.

Michezo hii inakuza mshikamano na upendo bila kusahau afya ya akili.
 
Hata Sijui wameingiliwa na mdudu gani kichwani labda huu utandawazi watoto wanashinda wakicheza game na tv.

Michezo hii inakuza mshikamano na upendo bila kusahau afya ya akili.
Na afya ya mwili pia, ile kimbia kimbia ilikua inatuweka fit
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabla ya kutaja unaitwa mafichoni kuulizwa mchumba ako nani!!! Basi na aibu tele unamnong'oneza "danhosnoop"
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe unakumbuka mkuu
 
Kama nakuona yani enzi hizo, bila shaka vigauni "spesheli" vilikuhusu sana [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] spesheli za kanisani mkuu!!! Tena zipo kabatini kwa mama, unapewa jumapili asubuhi, ukirudi unazirudisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23] spesheli za kanisani mkuu!!! Tena zipo kabatini kwa mama, unapewa jumapili asubuhi, ukirudi unazirudisha
Hahahahaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti ukirudi unazirudisha. Nimecheka kwa nguvu
 
Hahahahaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti ukirudi unazirudisha. Nimecheka kwa nguvu
Sa ole wako jichanganye huko Sunday school ashikilimu iwe imedondokea??? Wee! Hicho kichambo chake nyumbani utajutraa
 
Sa ole wako jichanganye huko Sunday school ashikilimu iwe imedondokea??? Wee! Hicho kichambo chake nyumbani utajutraa
Hahahahahaa, nimekumbuka ashikilimu za ukwaju na za ubuyu. Ashikilimu 1 wanaeza megewa watu hata 8. Utoto bana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahahahaa, nimekumbuka ashikilimu za ukwaju na za ubuyu. Ashikilimu 1 wanaeza megewa watu hata 8. Utoto bana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utoto mtu unanunua bigijii, kabla hata hujapokea toka kwa muuza duka tayari marafiki zako 10 washanyoosha mikono kuomba... Sasa huo mgao wake!!! Mpaka kila mtu anapata! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom