MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Nyie mtakuwa mmezaliwa miaka ya tisini na kuendelea.sisi wa themanini kurudi nyuma hakukuwa na vitu hivyoo. Lazima ucheze baba na mama au kombolela au utengeneze bunduki za mabomba ya mipapai au mpira alimaarufu cha ndimu nowadays.
Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
Naupenda mpaka leoHaa haa haa aiseeee
Madem ndo ulikua mchezo wa
Mkubwa kwao
dah huu ni mchezo gani mkuu au ulikuwa ni mzee wa kuangua maembe tu.Embe embe
huu mchezo nilkuwa nikiona visichana vimekusanyika nahailisha hata kula tu ili nikasheze nao.Mchezo wa baba na mama
huu ulikuwa ni zaidi ya mchezo sasa halafu ilikuwa bush nini.Mchezo wa kuchungulia wakina dada mtoni wakioga
We ulikua sio wa uswazi..sie wa uswazi izo games tulizijulia ukubwani .....Hapana vilikuwepo tokea 70's sema tu hapa kwetu Bongo vimechelewa kuingia na vilikuwa adimu sana.
Mpaka leo hii mimi na ukubwa wangu nacheza sana tu. Kipenda roho mkuu
Ukitoka hapo vumbi hadi kwenye kope..Loo..l hii ilikuwa ya wote kweli wote wa kiume na wakike humohumoo, mmoja akidaka wote mnatakiwa mgande
tena wakujificha unaambiwa wa kwanza anazinga hapo ndio mchezo ulikuwa unanoga zaidi halafu time ni usiku sasa.Mchezo wa kujificha na ukuti ukuti
uswazi ilikuwa kombolela,dama,michezo ya kujipikilisha hapo kukiwa na baba na mama,kukimbizana,ukuti ukuti,rede,mpira na mingine mingi tu.We ulikua sio wa uswazi..sie wa uswazi izo games tulizijulia ukubwani .....
hii kitu kama ulikuwa huna shabaha bora uache kucheza tu.Aiseee mimi utotoni nimecheza michezo yote. Kujipikilisha, baba mama, kuchezesha vitoto, kombolela, dama, senta, namsaka mke wangu, kucheza mabunduki, mpira kombe ikiwa pakti moja ya karang. My favourite play ulikua GOROLI mpaka leo nikiwaona watoto wanacheza natamani namm niombe namba
Hiyo ndo ilikua michezo yetuuswazi ilikuwa kombolela,dama,michezo ya kujipikilisha hapo kukiwa na baba na mama,kukimbizana,ukuti ukuti,rede,mpira na mingine mingi tu.