Je, ni mchezo gani utotoni ulipenda kucheza na wenzako?

Play Station.

Daaah umenikumbusha mbali sana,
PS 1, Nintendo 64, Game Boy, Sega Genesis....

Game Boy unaondoka na betri kumkomoa mtu.

Wakati ule ilikuwa inauzwa 1500.

Game boy 1500 mkuu? Au ulimaanisha brick game

Game boy 1500 mkuu? Au ulimaanisha brick game
All of the above....
Sinto waita (Mkuu) tena, maana ninyi nyote niwa siku za .com[emoji16] [emoji16]
 
Si wengne tulikuwa kipindi cha transition kombolela/kamfichamo, kuogelea kwenye mito na kufinyanga magari na vidoli vya udongo kidogo na vi game vya brick, super Mario, NFS 2,video game....
 
Upo sawa sana mkuu.....
Enzi hizo ilikua tukiwazoza wadada wanaenda kutusemea kwa wazazi wao (eti musa ameniambia tufanye matusi).
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nilikuwa napenda sana kuwinda vindege na kuongelea mto ruaha [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…