Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Ina faida zipi? Unaweza kufafanua boss?Liquid Fund.
Asante mkuu, kuna mtu pia kanipendekezea hii, kaniambia ukifika we usiangaike waambie liquid, unaweza kunipa ufafanuzi zaidi mkuu kuhusu hii?Liquid Fund.
Nina ka milion kangu kamekaa benk tu bila increase yoyote nataka nikakawekeze kule.Liquid Fund.
Liquid Fund | UTTAMIS - Asset Management and Investor Services Plc hayaAsante mkuu, kuna mtu pia kanipendekezea hii, kaniambia ukifika we usiangaike waambie liquid, unaweza kunipa ufafanuz zaid mkuu kuhusu hii??
Higher risk higher return.Bond Fund au Liquid Fund----Risk almost free
Long-term benefit. Muda mfupi hamna.Ina faida zipi? Unaweza kufafanua boss?
Long-term benefit. Muda mfupi hamna.
Kila siku hela yangu inaongezeka japo kwa kiasi kidogo. Ninaweza kuamua kuuza vipande vyangu na kupata faida kulingana na thamani ya vipande.
Daa mkuu ndio ilivyo, mada za maendeleo huwa hupata wachangiaji wachache sana bt ingekuwa mada ya utupu wangetiririka kama mvua.Yaani ndio wameamua kukutesa hivi kwa kukaa kimya.
Shukran sana mkuu, yaonekana nawe ni member.
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi zaidi, je ukitaka kudeposit pesa mpaka uende kwenye ofisi zao?Kwa hakika ni bora zaidi kuweka fedha zako liquid fund kuliko kuiacha kwenye akaunti za savings au hata most fixed deposits za benki.
Liquid fund ni bora kuliko akaunti za benki kwavile:
1) Riba zake per annum ni kubwa zaidi, >11%;
2) Riba hukokotolewa na kuingizwa kila siku kwa njia ya ongezeko la thamani ya kipande - na unaweza kukokotoa faida uipatayo siku kwa siku;
3) ukitaka fedha zako unajaza fomu ya kuuza vipande (vyote au baadhi) na malipo huingizwa katika akaunti within 3 working days at most.
Na je hii maturity yake ni ya mda gani?? Yaani ni miezi mitatu, sita, mwak au miaka mingapi?Kwa hakika ni bora zaidi kuweka fedha zako liquid fund kuliko kuiacha kwenye akaunti za savings au hata most fixed deposits za benki.
Liquid fund ni bora kuliko akaunti za benki kwavile:
1) Riba zake per annum ni kubwa zaidi, >11%;
2) Riba hukokotolewa na kuingizwa kila siku kwa njia ya ongezeko la thamani ya kipande - na unaweza kukokotoa faida uipatayo siku kwa siku;
3) ukitaka fedha zako unajaza fomu ya kuuza vipande (vyote au baadhi) na malipo huingizwa katika akaunti within 3 working days at most.
Na ukishajaza hiyo fomu ya kuuza vipande ni mpaka wafanikiwe kuuza ndo upate pesa zako?? Nauliza hvi coz nina hisa za voda nilinunuaga nikaweka sokoni mpk leo mwaka wa pili hawajafanikiwa kupata wateja.Kwa hakika ni bora zaidi kuweka fedha zako liquid fund kuliko kuiacha kwenye akaunti za savings au hata most fixed deposits za benki.
Liquid fund ni bora kuliko akaunti za benki kwavile:
1) Riba zake per annum ni kubwa zaidi, >11%;
2) Riba hukokotolewa na kuingizwa kila siku kwa njia ya ongezeko la thamani ya kipande - na unaweza kukokotoa faida uipatayo siku kwa siku;
3) ukitaka fedha zako unajaza fomu ya kuuza vipande (vyote au baadhi) na malipo huingizwa katika akaunti within 3 working days at most.
Asante mkuu, nazidi kujifunza, nielezee kdg kuhusu bond fund mkuu.Bond Fund au Liquid Fund----Risk almost free
Hapana mkuu.Na ukishajaza hyo fomu ya kuuza vipande ni mpk wafanikiwe kuuza ndo upate pesa zako?? Nauliza hvi coz nina hisa za voda nilinunuaga nikaweka sokoni mpk leo mwaka wa pili hawajafanikiwa kupata wateja.