Uchaguzi 2020 Je, ni Mgombea Urais gani kati ya hawa anahitajika sana kwa sasa na Wananchi wa nchi ya Malawi ya Kaskazini?

Uchaguzi 2020 Je, ni Mgombea Urais gani kati ya hawa anahitajika sana kwa sasa na Wananchi wa nchi ya Malawi ya Kaskazini?

Maendeleo ya watu yanatanguliwa na maendeleo ya vitu.

Exactly infrastructures then opportunities. Mimi hawa jamaa sijui wanawazaje mtu kupelekewa ugali nyumbani. Very cheap mind ndo kina Rungwe hawa wanawaza ubwabwa.
 
Watu wenye akili wanatumia akili zao saa 24 kuwaza kukuza uchumi ili ulete maendeleo ya watu ndipo yachochee maendeleo ya vitu!

Hujui maana ya value chain wewe, akili zako kama za Rungwe unataka uletewe wali nyumbani ndio uone uchumi umekuwa badala ya kuanza ujasiria mali kando kando ya Stiglers Gorge au SGR. Watanzania mtakufa masikini kama hamuoni fursa kwa miundo mbinu iliyowekwa na JPM
 
JP doing the best the problem is our weak constitution to lead and guide him. He works in line with old economist Adam Smith who defined economy as wealth of the nation,( To be rich and strong) regardless how you acquire or make it.

While ATL goes to wealth of the nation and human behaviour. Human warfares and morals behind wealth acquisition. Refer to classical economist Marshal and others.

The second is better off to modern world. Despite dog owner feeds and take care he/she respect the dog.
 
JP doing the best the problem is our weak constitution to lead and guide him. He works in line with old economist Adam Smith who defined economy as wealth of the nation,( To be rich and strong) regardless how you acquire or make it....
Tatizo ni mfumo wa kiimla walio jiwekea wa kukandamiza vyama pinzani. Doing the best sio problem issue una do vipi kwa kukandamiza democracy.

Mbona sera zake hazina mashiko
 
Exactly infrastructures then opportunities. Mimi hawa jamaa sijui wanawazaje mtu kupelekewa ugali nyumbani. Very cheap mind ndo kina Rungwe hawa wanawaza ubwabwa.


Kilaza wewe nani anataka kupelekewa ugali? Kazi ya kiongozi ni kuandaa mazingira yatakayo rahisisha maisha ya raia wake. Unaua private sector kwa maono ya kipumbavu ya kijima ambayo Mwalimu Nyerere alishindwa kwa kisingizio cha Infrastructure. Kikwete alijenga network ya barabara nchi mzima,kujenga UDOM,kaitanua Muhimbili na kupeleka madaktari kwenda kusoma specialization and super specialization, gas na infrastructure zake mpaka Dar,shule za kata nchi mzima,alijiari from certificate to graduate wote wa sekta ya elimu na afya. Alifanya mengi na bado wananchi tulifurahia maisha. JPM alitakuwa kuja kurudisha nidhamu kwenye utumishi was umma sehemu ambayo ilikuwa na udhaifu mkubwa kwenye utawala wa JK. Sasa huyu Magufuli kaja kuharibu private sector na kuvuruga maisha ya watu,kubkmoa democracy na haki za binadamu.

Tunaishi leo huku tukiiandaa kesho yetu,tutoleeni ujima wenu hapa hatutaki kuwa kama Ethiopia vijana wao wanakufa kwenye malori wakikimbia maendeleo ya nchi yao.
 
Exactly infrastructures then opportunities. Mimi hawa jamaa sijui wanawazaje mtu kupelekewa ugali nyumbani. Very cheap mind ndo kina Rungwe hawa wanawaza ubwabwa.
Ethiopia wanamiundombinu mizuri, wanamadege yakila aina lkn raia wake wanakamatwa kila siku kwenye malori wakikimbia maendeleo ya nchi yao kisa kwenda kutafuta mkate waishi vizuri. Nafikir unataka watz tuishi kama waithiopia.
 
Je,....

1. Mgombea ambaye Sera zake ni Miundombinu, Usafirishaji, Utalii na Madini huku Vitisho / Mikwara vikitawala Ubongo wake 24/7?
2. Mgombea ambaye Sera zake ni Kuanza Kwanza kupambania Maisha Magumu ya wana Malawi ya Kaskazini na Haki zao Kiujumla?
3. Mgombea ambaye Sera zake ni Kushirikisha sana Wataalam katika Maeneo husika, Maendeleo na Utu wa Kisiasa na Amani?

GENTAMYCINE nikiwa kama Raia wa hapa nchini Malawi ya Kaskazini nina uhakika Majibu yenu ya hapa yatatupa Mshindi halali wa Uchaguzi huo.
Genta, kwa kifupi Malawi ya Kaskazini ni Yeye tu!! Yule jamaa alieponywa na Mungu risasi 16.

Kwa Uhuru wa kweli, haki ya kweli na maendeleo ya watu ya kweli, si mwingine zaidi ya Tundu Antiphas Lissu
 
Kilaza wewe nani anataka kupelekewa ugali? Kazi ya kiongozi ni kuandaa mazingira yatakayo rahisisha maisha ya raia wake. Unaua private sector kwa maono ya kipumbavu ya kijima ambayo Mwalimu Nyerere alishindwa kwa kisingizio cha Infrastructure. Kikwete alijenga network ya barabara nchi mzima,kujenga UDOM,kaitanua Muhimbili na kupeleka madaktari kwenda kusoma specialization and super specialization, gas na infrastructure zake mpaka Dar,shule za kata nchi mzima,alijiari from certificate to graduate wote wa sekta ya elimu na afya. Alifanya mengi na bado wananchi tulifurahia maisha. JPM alitakuwa kuja kurudisha nidhamu kwenye utumishi was umma sehemu ambayo ilikuwa na udhaifu mkubwa kwenye utawala wa JK. Sasa huyu Magufuli kaja kuharibu private sector na kuvuruga maisha ya watu,kubkmoa democracy na haki za binadamu.

Tunaishi leo huku tukiiandaa kesho yetu,tutoleeni ujima wenu hapa hatutaki kuwa kama Ethiopia vijana wao wanakufa kwenye malori wakikimbia maendeleo ya nchi yao.
Kwa dozi hii uliyompa huyu mataga wa Lumumba akirudi tena basi ana moyo mgumu sana 😂😂😂
 
Hadi Wana CCM kindakindaki huku mitaani pamoja na wa mitandaoni kama huyu mleta mada hawaamini kinachoenda kutokea.
Jaji Kaijage kazi unayo Mzee wetu.
 
Kwa mara ya kwanza, Shule zimefunguliwa nchi nzima kasoro Mwanza, kisa tu kuna mtu anazindua 'kampeni', wakati hadi siku ya mazishi ya Bw Mkapa, walienda shule.

Nisamehe mkuu, maana ni nje ya mada.
Kuna uwezekano kifo cha Nkapa kina nkono wa mkubwa fulani.
 
Kwa mara ya kwanza, Shule zimefunguliwa nchi nzima kasoro Mwanza, kisa tu kuna mtu anazindua 'kampeni', wakati hadi siku ya mazishi ya Bw Mkapa, walienda shule.

Nisamehe mkuu, maana ni nje ya mada.
Kuna uwezekano kifo cha Nkapa kina nkono wa mkubwa fulani.
 
Magu hawezi kosa, atapata kama asilimia95 hivi
 
Wengine wana wapamba tu wananchi, hasa CDM
Waongo sana hao, yan wakuletee maendeleo akati rusuku za chama chao chenyewe hakijaonesha maendeleo, wakuletee uhuru akati chama chao chenyewe wanaowapitisja kwa viti maalum na wagombea wanapitisha kihorela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua uongo upo tu
 
Kwa dozi hii uliyompa huyu mataga wa Lumumba akirudi tena basi ana moyo mgumu sana 😂😂😂


Huyu Magufuli anataka kuturudisha zama za Karundika maisha ya kuzamia meli wakati wa utawala wa Nyerere,vijana waliatarisha maisha yao kwa kuzamia meli kwenda Ulaya kukimbia maisha magumu yaliyosababisshwa na utawala wa Nyerere. Mzee Mwinyi alishatutoa huko,baada ya miaka 35 anakuja Magufuli anataka kuturudisha huko halafu wapambe wake wanampigia makofi eti anajenga infrastructure, mavi ya kuku kabisa hawa.
 
Msalimie Lazarus Chakwera

Umeshasema wewe mtu wa kitengo mimi raia mnyonge sina cha kupinga.

Kabla sijakujibu au sijaibu hii 'Hoja' yako hapa nakuomba haraka sana weka 'Ushahidi' wako hapa ili 'Uthibitishe' kuwa nilisema Mimi ni wa Kitengo.

Cc: SAID KARIMU
 
Back
Top Bottom