Uchaguzi 2020 Je, ni Mgombea Urais gani kati ya hawa anahitajika sana kwa sasa na Wananchi wa nchi ya Malawi ya Kaskazini?


Ninawachukia kweli nyie 'Mijitu' mnaojifanya hamjui Lugha yetu ya Kiswahili na mnataka Kuonyesha Usomi wenu kwa Kutumia Lugha ya Kiingereza.
 
mimi nikiwa kamqa mwananchi wa malawi ya kaskazini ninahitaji raisi mwenye sera hizi

2. Mgombea ambaye Sera zake ni Kuanza Kwanza kupambania Maisha Magumu ya wana Malawi ya Kaskazini na Haki zao Kiujumla?
3. Mgombea ambaye Sera zake ni Kushirikisha sana Wataalam katika Maeneo husika, Maendeleo na Utu wa Kisiasa na Amani?
 
Mkuu umeongea kwa uchungu sana. Nimekuelewa sana!
 

Unazungumziaje mgombea mmoja ambaye akipewa serikali hatapeleka maendeleo sehemu ambayo hakupata kura za kutosha?
 

Namba 2 na 3 wanafaa kupewa nchi.
 

Ili tujue wote tunataka kufaidika huko mbeleni, mwambie alipwe mshahara wa 1m, ili tuishi wote sawa kisha hayo maendeleo yakija tufaidike wote, au wafaidike hao watoto wetu. Sio yeye na watoto wake wafaidi sasa na baadae, ila sisi tungoje kufaidika baadae. Hatuendekezi ujinga huo.
 
Na ukiwaendekeza sana watoto watakuwa hawajishughulishi na wanasubiria tu mali ya urithi

Viongozi na familia zao wanaishi vizuri, na wote wana ajira serikalini, ila sisi wanatuita wanyonge huku tukiwa hatuna ajira, na watoto wetu hawasomi shule moja na watoto wa viongozi. Inakuwaje tunachorona ili kufikia utashi wa kiongozi wa kuumia pekee yetu?
 
lissu ndiye anafaa urais kwa sasa , wengine ni ugoro tu
 
Mfundisheni apunguze uropokaji.
Vipi yule bwana wa lugha gongana, anaabagua watu kwa vyama halafu kesho yake anakataza ubaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…