Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
Sina haja ya kusalimia, natumaini kila mmoja aliepata nafasi ya kuona uzi huu anapumua.
Kuna kipindi kama binadamu tunapitia magumu mpaka unajiuliza kosa lako ni nini?
Je, wewe ni mkosefu kushinda wengine?
Je, Mungu amekuacha ujaribiwe?
Au je kuna mkono wa mtu kwenye magumu unayopitia?
Ni mada fikirishi kutokana na tunayopitia maishani.
Kuna kipindi kama binadamu tunapitia magumu mpaka unajiuliza kosa lako ni nini?
Je, wewe ni mkosefu kushinda wengine?
Je, Mungu amekuacha ujaribiwe?
Au je kuna mkono wa mtu kwenye magumu unayopitia?
Ni mada fikirishi kutokana na tunayopitia maishani.