Je, Ni msanii gani wa Bongofleva aliyepotea katika muziki unatamani arudi katika muziki?

Domo kaya na mwenzie sijui mandojo
 
dah,kweli huyu jamaa...ukifatilia kupotea kwa hawa jamaa ndipo utaanza kuzijua dosari za profesa jay

Terry Fanani junky heavy, sasa mtu mzima na akili zake anakula unga umlaumu Jay yeye ndio anamnunulia ngada? Lawama nyingine hizi.
 
Afande sele, dat.z, sister p,juma nature,banana zoro,o ten,mwasiti.............etc
 
Sister p, zay B,alikom, Mr Nice, oten, dogo Hamidu, dogo janja
 
Daz Baba jamaa album yake ya elimu dunia niliielewa sana
 
dah,kweli huyu jamaa...ukifatilia kupotea kwa hawa jamaa ndipo utaanza kuzijua dosari za profesa jay

Natamani itokee tena crew kali kama hard blasters, kwani prof. J alimfanya nini huyu jamaa?
 
Ahsante kwa kunikumbusha maana dah. ...sijui nisemeje , nilikuwa na mahaba sana na huyu dada na wimbo wake. Hivi yupo kweli?

Nimeucheki Youtube. Umenikumbusha jambo fulan dah.
Sijui hata yupo wapi now na anafanyaje
 
University corner,
Solid groud family,
Uswahilini matola,
Wagosi wa kaya,
Daz dundaz,
Mr.paul,
Mike T,
Vumilia,
Mb dog,
Gk,
Noorah, n.k

Kiufupi ni wengi sana,
Nilikua naipenda bongo flavour ya zamani, kwa sasa hata sijui wanaimba nini.
 
Poline zongo,stara thomas na kuna wimbo una maneno yanasema"macho yanaona mbali,lkn ni vigumu sikio lako kuliona,nahisi unaitwa utanikumbuka"..aloimba na kuandika ule wimbo anajua sana,siku hizi waliopo wanaimba utumbo mtupu..
 
kuna yule mdada anaitwa rah P Nilimuelewa sana kuna nyimbo yake inaitwa queen anawaongelea wanawake wa afrika,bila kusahau nyimbo iliyomtoa hayakuhusu
 
Last edited by a moderator:
OCG
Yule aliyeimba nataka mchumba wa 30,nina bahati mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…