Je, Ni msanii gani wa Bongofleva aliyepotea katika muziki unatamani arudi katika muziki?

Je, Ni msanii gani wa Bongofleva aliyepotea katika muziki unatamani arudi katika muziki?

Uko sahihi kiasi chake,labda unafahamu historia ya hard blasters? Awali hakuepo jay,alikuepo teacher kaka yake Jay..the crew haikukick kivile but was like a family..baada ya tiacher kwenda ughaibuni..jay akajoin crew..nakweli crew ikang'aa na akang'aa yeye kwa kiasi kikubwa..akawasahau wenzake na kuinitiate sole based projects..HBC ikafa taratibu,dispointment na stress za maisha kama ilivyokuwa kwa wengu mziki usipo walipa akaingia kwenye wingu la kutumia madawa...baadae Mr. 2,sugu akamuokota nakuanza kumuhudumia na kumpeleka rehab...watumiaji wa madawa ya kulevya si watu wakutengwa ni watu wakukaa nao pamoja nakujaribu kuwarudisha kwenye mstari,mwisho wasiku wanatugusa sisi sote.
Utetezi wako hauna maana ni wa kupuuzwa
 
Uko sahihi kiasi chake,labda unafahamu historia ya hard blasters? Awali hakuepo jay,alikuepo teacher kaka yake Jay..the crew haikukick kivile but was like a family..baada ya tiacher kwenda ughaibuni..jay akajoin crew..nakweli crew ikang'aa na akang'aa yeye kwa kiasi kikubwa..akawasahau wenzake na kuinitiate sole based projects..HBC ikafa taratibu,dispointment na stress za maisha kama ilivyokuwa kwa wengu mziki usipo walipa akaingia kwenye wingu la kutumia madawa...baadae Mr. 2,sugu akamuokota nakuanza kumuhudumia na kumpeleka rehab...watumiaji wa madawa ya kulevya si watu wakutengwa ni watu wakukaa nao pamoja nakujaribu kuwarudisha kwenye mstari,mwisho wasiku wanatugusa sisi sote.

Ukiniambia Fanani kaanza Kula ngada kwa stress zilizosababishwa na Jay nakataa. Jay mwenyewe game haikua easy kwa upande wake kama watu wanavyofikiria. Kapitia humo humo kwenye kuuza tape kwa wahindi na kupiga show za elfu 50. Fanani tumekaa nae kijiweni Ni mtu mwenye akili timamu na clever Sana ukimfananisha na masela wengine maskani. Njia aliyoichagua huwezi kumlaumu mtu kwasababu sisi wengine tumekua na kuishi vijiweni kwahiyo tunajua kinachoendelea bila kuhadithiwa
 
Ahsante kwa kunikumbusha maana dah. ...sijui nisemeje , nilikuwa na mahaba sana na huyu dada na wimbo wake. Hivi yupo kweli?

Nimeucheki Youtube. Umenikumbusha jambo fulan dah.

Yupo kwao kenya aliondoka zenji baada ya jamaa yake yusuf chuchu na mmiliki wa srudio ya heart beat kufariki..aliimbaga wimbo mwingine mzuri sana unaitwa maisha ya mjini
 
Planet 2000

Iyo beat ya mj ni noma yani naskia walirekodi wakarudi kwao iringa wakiichukulia nyimbo poa baada ya mda hapa town bonge la hit song wakapigiwa Simu na mapromota lukuki kwa show....
Bab kubwaaa... . hii ni bab kubwaa au sio mazee ni babkubwwaa ..
 
Bwana mkubwa aloimba wimbo na unique sisters kama unataka kuja home.
 
David Nyika a.k.a Daz Mwalimu au Daz Baba Tanzaniano ndio ambaye ninamiss kwenye bongo fleva, hao wengine kina sijui Marlaw hamna kitu mbele ya huyu mtu
 
yule aliyeimba sheila sijui anaitwa esther wasira
juma nature
squeezer
mandojo na domo kaya
mike T.. napenda sana ngoma ya nyalu land aliyo mshirikisha jay dee
fagio la chuma
solo thang japo alipotoa mr tanzania alikuwa karudi vizuri then kimya
makamua
banana zorro
maunda zorro
k-sal.. nakumbuka kibao cha mwana mkiwa
bwana misosi
stara thomas
ferouz
daz baba
kali p
kuna dogo flani wa iringa anaitwa yakee aliimba ngoma inaitwa tonight enzi za producer ambha kuhamia dar akapotea
pauline zongo
q jay
mb doggy
 
yule aliyeimba sheila sijui anaitwa esther wasira
juma nature
squeezer
mandojo na domo kaya
mike T.. napenda sana ngoma ya nyalu land aliyo mshirikisha jay dee
fagio la chuma
solo thang japo alipotoa mr tanzania alikuwa karudi vizuri then kimya
makamua
banana zorro
maunda zorro
k-sal.. nakumbuka kibao cha mwana mkiwa
bwana misosi
stara thomas
ferouz
daz baba
kali p
kuna dogo flani wa iringa anaitwa yakee aliimba ngoma inaitwa tonight enzi za producer ambha kuhamia dar akapotea
pauline zongo
q jay
mb doggy

We unamiss miaka ya 2000 sio wanamuziki
 
Back
Top Bottom