Je, Ni msanii gani wa Bongofleva aliyepotea katika muziki unatamani arudi katika muziki?

Je, Ni msanii gani wa Bongofleva aliyepotea katika muziki unatamani arudi katika muziki?

Kila navyoimba hizo chorus inanijia sauti ya lady jay dee... maybe

No jay dee hapana kabisaaaa

Nina album ya zaman ya jaydee hakuna nyimbo kama hizo

Hizo nyimbo mbili zina melody flan nzuri sana basi tu kujua walioziimba...
 
Dah kuna dada aliimbaga " nawaachia hao wenzangu, wajaribu kuishi na wewe na sikiwa kifaranga cha kuku mbele yako wewe bwana mwewe" aisee video yake ilivuma enzi za 2001/2002 sijui anaitwa nani? Alikuwa na rasta hv .

Crazy GK
Ferooz
Mr Paul
Solo thang
Mabaga fresh
Suma G mzee wa uswahilini
Mark D mzee wa vina mfuatano(mja wako).

Yule mdada anaitwa fina mango kitu nasonga mbele nimekumbuka mbali sana mkuu
 
No jay dee hapana kabisaaaa

Nina album ya zaman ya jaydee hakuna nyimbo kama hizo

Hizo nyimbo mbili zina melody flan nzuri sana basi tu kujua walioziimba...
Mkuu Imebidi hadi nitafute huo wimbo. Hiyo chorus ya kwanza ni ya jide kweli. Nyimbo inaitwa waweza kwenda. Sijui tu jinsi ya kuattach nyimbo hapo, Tafuta Google uone
 
Mkuu Imebidi hadi nitafute huo wimbo. Hiyo chorus ya kwanza ni ya jide kweli. Nyimbo inaitwa waweza kwenda. Sijui tu jinsi ya kuattach nyimbo hapo, Tafuta Google uone

Mkuu shukrani upo vizuri kwenye seaching

Nlkua naleta blablabla kumbe kweli jide

Ngoja nikaicheki halafu nichekie na huo wa pili naandaa na zawadi yako hapa🙂🙂
 
marlaw
k Lyn
voice wonder
Jackie Marie
raynee lamira
ray c
z anto
Mr Paul
maunda zorro
banana zorro awe serious
enika
unique sistaz
ngoja niishie hapaaa
 
Back
Top Bottom