Je, Ni msanii gani wa Bongofleva aliyepotea katika muziki unatamani arudi katika muziki?

Kila navyoimba hizo chorus inanijia sauti ya lady jay dee... maybe

No jay dee hapana kabisaaaa

Nina album ya zaman ya jaydee hakuna nyimbo kama hizo

Hizo nyimbo mbili zina melody flan nzuri sana basi tu kujua walioziimba...
 

Yule mdada anaitwa fina mango kitu nasonga mbele nimekumbuka mbali sana mkuu
 
No jay dee hapana kabisaaaa

Nina album ya zaman ya jaydee hakuna nyimbo kama hizo

Hizo nyimbo mbili zina melody flan nzuri sana basi tu kujua walioziimba...
Mkuu Imebidi hadi nitafute huo wimbo. Hiyo chorus ya kwanza ni ya jide kweli. Nyimbo inaitwa waweza kwenda. Sijui tu jinsi ya kuattach nyimbo hapo, Tafuta Google uone
 
Mkuu Imebidi hadi nitafute huo wimbo. Hiyo chorus ya kwanza ni ya jide kweli. Nyimbo inaitwa waweza kwenda. Sijui tu jinsi ya kuattach nyimbo hapo, Tafuta Google uone

Mkuu shukrani upo vizuri kwenye seaching

Nlkua naleta blablabla kumbe kweli jide

Ngoja nikaicheki halafu nichekie na huo wa pili naandaa na zawadi yako hapaπŸ™‚πŸ™‚
 
Mkuu shukrani upo vizuri kwenye seaching

Nlkua naleta blablabla kumbe kweli jide

Ngoja nikaicheki halafu nichekie na huo wa pili naandaa na zawadi yako hapaπŸ™‚πŸ™‚
Hahahaha Ahsante kwa zawadi lol
 
marlaw
k Lyn
voice wonder
Jackie Marie
raynee lamira
ray c
z anto
Mr Paul
maunda zorro
banana zorro awe serious
enika
unique sistaz
ngoja niishie hapaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…