wakuu tumekuwa tukisikia sifa za wanyarwanda kuwa wako juu sana kwenye hizi issue za tech lakini cha kushangaza mbona hakuna mtandao hata mmoja wa kijamii uliotengenezwa na mnyarwanda ambao tunaweza kuulinganisha na hii JF ya Melo
afadhali wakenya wao wana kenyatàlk nk ambao kiuhalisia ni mkubwa kama JF ya Melo
wanyarwanda wamekwama wapi au ndio muda wa JF kujitanua huko kwa ndugu zake Genta
afadhali wakenya wao wana kenyatàlk nk ambao kiuhalisia ni mkubwa kama JF ya Melo
wanyarwanda wamekwama wapi au ndio muda wa JF kujitanua huko kwa ndugu zake Genta