- Thread starter
- #21
mkuu nilichotaka kumaanisha kwenye huu uzi ni mtandao wa kijamii wa unaomilikiwa na mnyarwanda kwenye nguvu kama JF ya MeloNiambie JF Ina feature Gani ambayo yenyewe haina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu nilichotaka kumaanisha kwenye huu uzi ni mtandao wa kijamii wa unaomilikiwa na mnyarwanda kwenye nguvu kama JF ya MeloNiambie JF Ina feature Gani ambayo yenyewe haina?
Sidhani kama maxence Mello anayo hata code/script yoyote ya hii JFMkuu, yote kwa yote ni mambo meng yameshaandaliwa, hata wanatengeneza softwares na systems unakuta kuna codes wanachukua huko open source ili kurahisisha mambo.
Kula Tunda Kimasihara,J.f Usiku wa Manane,J.f Snap chat. Usiniulize features nioneshe magreat thinkers kama hao Muongeze na yule bro.wetu Mshana J.r Ukiandika vitu kama hivyo huko Huo mtandao utakuwa umefikia Tamati Kwanza Huo mtandao wote mnajuana kama Whatsapp.Niambie JF Ina feature Gani ambayo yenyewe haina?
Umetumwa+Sidhani kama maxence Mello anayo hata code/script yoyote ya hii JF
Inshort hiyo program ya kutengenezea forum wanayoitumia ndo inamaliza Kila kitu mpaka kumanage data Za users
mkuu nilichotaka kumaanisha kwenye huu uzi ni mtandao wa kijamii wa unaomilikiwa na mnyarwanda kwenye
Hawana shida hiyo wao Wana twitter Na facebook..Hii JF ya maxence hata Dogo wa chuo pale Kigali anaunda ila ya Nini?mkuu nilichotaka kumaanisha kwenye huu uzi ni mtandao wa kijamii wa unaomilikiwa na mnyarwanda kwenye nguvu kama JF ya Melo
Kuna mambo ya security patches na mengine wanafanya wao. Usipofanya basi itakuwa hacked kila mara maana ni rahisi hackers kujua kila kitu maana si inanunuliwa tu. So some things have to be changedSidhani kama maxence Mello anayo hata code/script yoyote ya hii JF
Inshort hiyo program ya kutengenezea forum wanayoitumia ndo inamaliza Kila kitu mpaka kumanage data Za users
Siyo tu imetengenezwa, bali inamilikiwa na watanzani. Kaa kwa kutuliaKwani jamiiforums imetengenezwa Na watanzania?
Dah we jamaa bwanaKula Tunda Kimasihara,J.f Usiku wa Manane,J.f Snap chat. Usiniulize features nioneshe magreat thinkers kama hao Muongeze na yule bro.wetu Mshana J.r Ukiandika vitu kama hivyo huko Huo mtandao utakuwa umefikia Tamati Kwanza Huo mtandao wote mnajuana kama Whatsapp.
Sawa lakini sio level ya kusema wameitengeneza hii JF.Kuna mambo ya security patches na mengine wanafanya wao. Usipofanya basi itakuwa hacked kila mara maana ni rahisi hackers kujua kila kitu maana si inanunuliwa tu. So some things have to be changed
Mi nalala kabisaSiyo tu imetengenezwa, bali inamilikiwa na watanzani. Kaa kwa kutulia
Hapana,hiyo sio Maxence Mello.Na hii Ni maxence Mello?
Maana zinafanana.
Soma vizuri sentensi ueleweDah we jamaa bwana
Kwahyo ukiambiwa features Za JF ndio Hizo ulizotaja?
Maisha yako simplified. Ukitaka kujua kuwa wanafanya kazi na sio kazi rahisi, we jiulize ni mara ngapi jf inataka kuwa hacked au inaondoka hewani wanapambana kuirudisha?Sawa lakini sio level ya kusema wameitengeneza hii JF.
Sema tuishie hapo...sitaki kusound kama hater
Wewe ndo ulikimbia swali langu la features unaleta mambo ya uzi wa Kula tunda hapa...Huo uzi si ata wewe unaweza kuuanzisha Facebook hukoSoma vizuri sentensi uelewe
Wewe Tu ndo umegundua lengo la mtoa madaUnataka kuopoa dem?
ila ile app ya mange imetengenezwa na watoto wa chekecheaMaisha yako simplified. Ukitaka kujua kuwa wanafanya kazi na sio kazi rahisi, we jiulize ni mara ngapi jf inataka kuwa hacked au inaondoka hewani wanapambana kuirudisha?
Kuna vichwa nyuma ya kuhakikisha security za hiki kitu. Kama app ya kimbea kama ya mange imekuwa hacked twice ndani ya muda mfupi hadi data kufutwa, je jf inayomwaga mambo mengine sensitive?
Kununua software jambo moja, kutengeneza misingi na kuicustomize iwe konki si kazi ndogo.
Kijana wa hovyo sana weww[emoji1787]Uganda Wana katelelotalk
Sijawahi hata kuidownload wala kuifungua hata kumkuta mtu anayo.ila ile app ya mange imetengenezwa na watoto wa chekechea