Chiblak
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 662
- 921
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kule play store imepakuliwa mara laki 1Sijawahi hata kuidownload wala kuifungua hata kumkuta mtu anayo.
Sema kama data anazotoa ni kweli kwamba ina 2ml downloads, basi anapiga ela maana kwa buku buku hizo bilion 2 za kibongo.
Basi atakuwa anaongopa kama ni hivyo sema 200 ml kwa mwezi ei habakule play store imepakuliwa mara laki 1
Upo Nairaland wa Naigeria, Nadhani hata kina Maxence walikuwa inspired na ule mtandao, umeanza 2004 na JF imeanza 2006Haitatokea Sio East Africa tu,Africa nzima.Tuendelee kuomba huu Wa Kwetu Uendelee Kuishi.
Kwan ukiwa Na app unalipwa buku per user Kila mwezi?Basi atakuwa anaongopa kama ni hivyo sema 200 ml kwa mwezi ei haba
Yeye anakula kwa malipo ya subscription sio ya matangazo.Kwan ukiwa Na app unalipwa buku per user Kila mwezi?
Kwahyo watu wanatoa buku Kwa mwezi?Yeye anakula kwa malipo ya subscription sio ya matangazo.
Yani malipo ya moja kwa moja
Hiyo Ni playstore...bado Appstore Na Microsoft storeBasi atakuwa anaongopa kama ni hivyo sema 200 ml kwa mwezi ei haba
Appstore haina watumiaji wengi kama playstore. Hakuna mtu anatumia simu za lumia tena na hana app ya windows phoneHiyo Ni playstore...bado Appstore Na Microsoft store
Ni kweli kule ukizungumzia vibaya utawala wa pk ujue jela inakuitaHistoria ya wanyarwanda kisiasa na kijamii si sawa na watanzania au wakenya kidogo.
Mfumo wa utawala pia ,utawala wa mkono wa chuma wa pk si sawa na watawala wetu wakitanzania. Kule hakuna uhuru wa kutoa maoni wala kukosoa hasa kisiasa.kule rwanda hata majenerali wa jeshi hawako salama dhidi ya Pk.
Ukabila,chuki ya wahutu na watutsi haijakwisha bado ,amani ni ya kulazimisha hivyo kukiwa na uhuru kama tulionao hapa Jf mambo yatakuwa hadharani na amani kutoweka.
Mi naona ni haya machache,ndio sababu.
Mtandao huu haujanza ziku nyingiAngalien hii forum halafu mniambie Ina tofauti Gani Na JF?
Watu wanalipia buku kwa umbea wakeKwahyo watu wanatoa buku Kwa mwezi?