Je,ni mtandao gani wa wa kijamii wazawa huko Rwanda ambao tunaweza kuuita JF ya Rwanda

Je,ni mtandao gani wa wa kijamii wazawa huko Rwanda ambao tunaweza kuuita JF ya Rwanda

Sijawahi hata kuidownload wala kuifungua hata kumkuta mtu anayo.
Sema kama data anazotoa ni kweli kwamba ina 2ml downloads, basi anapiga ela maana kwa buku buku hizo bilion 2 za kibongo.
kule play store imepakuliwa mara laki 1
 
Historia ya wanyarwanda kisiasa na kijamii si sawa na watanzania au wakenya kidogo.

Mfumo wa utawala pia ,utawala wa mkono wa chuma wa pk si sawa na watawala wetu wakitanzania. Kule hakuna uhuru wa kutoa maoni wala kukosoa hasa kisiasa.kule rwanda hata majenerali wa jeshi hawako salama dhidi ya Pk.

Ukabila,chuki ya wahutu na watutsi haijakwisha bado ,amani ni ya kulazimisha hivyo kukiwa na uhuru kama tulionao hapa Jf mambo yatakuwa hadharani na amani kutoweka.
Mi naona ni haya machache,ndio sababu.
Ni kweli kule ukizungumzia vibaya utawala wa pk ujue jela inakuita

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom