Ee .Si ni Maxence Mello?!!.Kwani jamiiforums imetengenezwa Na watanzania?
Na hii Ni maxence Mello?Ee .Si ni Maxence Mello?!!.
Hii jamiiforums na mitandao mingine inatumia vbulletin nadhani ni programu unanunua na kuicustomize kwakuweka features zako ndio ndio maana inafanana. Usidhani ni rahisi kwamba unaweza kufanya bila knowledge maana utakuwa unarisk data za watumiaji wakeAngalien hii forum halafu mniambie Ina tofauti Gani Na JF?
Wakusoma unafananisha na J.F tena,Tuombe radhi aisee!Angalien hii forum halafu mniambie Ina tofauti Gani Na JF?
Usiangalie contents..angalia muundo wa hiyo forumWakusoma unafananisha na J.F tena,Tuombe radhi aisee!
Tukisema huna akili tutakuwa tunakosea?Na hii Ni maxence Mello?
Maana zinafanana.
Sasa hapo hajatengeneza, amecustomize...Hii jamiiforums na mitandao mingine inatumia vbulletin nadhani ni programu unanunua na kuicustomize kwakuweka features zako ndio ndio maana inafanana. Usidhani ni rahisi kwamba unaweza kufanya bila knowledge maana utakuwa unarisk data za watumiaji wake
Hili ni kama Group la Whatsapp la wanachuo.Usiangalie contents..angalia muundo wa hiyo forum
Hujakosea mkuu..Tukisema huna akili tutakuwa tunakosea?
Pakubwa sanaTukisema huna akili tutakuwa tunakosea?
Niambie JF Ina feature Gani ambayo yenyewe haina?Hili ni kama Group la Whatsapp la wanachuo.
Mkuu, yote kwa yote ni mambo meng yameshaandaliwa, hata wanatengeneza softwares na systems unakuta kuna codes wanachukua huko open source ili kurahisisha mambo.Sasa hapo hajatengeneza, amecustomize...
Kwani wale wanaocustomize magari Kwa kuyawekea mziki Na rims wanakuwa wameyatengeneza au kuyagundua?