Je, ni mtazamo wangu tu au?

Je, ni mtazamo wangu tu au?

Mi miaka mitatu mizima mpaka tunakaribia kugiradyueti ndo akanionea huruma akanipa kwa masharti kuwa nisimsumbue tena wala kumfuatilia. Ajabu sasa nilipiga shoo mbovu sijawahi ona mpaka akaniuliza: miaka mitatu mizima unanihangaisha na mambo menyewe ndo haya?

J popote ulipo, sitakaa nikusahau dadeki [emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji23][emoji23][emoji23]kwahy ulimpaka shombo la samaki mtu
 
Ata chuo kuna malaya ebu acha kutongoza tongoza
 
Mi miaka mitatu mizima mpaka tunakaribia kugiradyueti ndo akanionea huruma akanipa kwa masharti kuwa nisimsumbue tena wala kumfuatilia. Ajabu sasa nilipiga shoo mbovu sijawahi ona mpaka akaniuliza: miaka mitatu mizima unanihangaisha na mambo menyewe ndo haya?

J popote ulipo, sitakaa nikusahau dadeki [emoji16][emoji16][emoji16]
🤣🤣🤣 Hatari na nusu mimi ndo hata kuhurumiwa hakuna
 
Sijui niseme maisha ni magumu sana au sijui niseme utandawazi!!!kwanini mabinti wa vyuo wanakuwa warahisi sana kutongozeka!!

Yan ukigusa imooooo tena ukiwa mwepesi kama lionel messi aloooooo haichukui hata siku mbili yupo geto sasa hapo ukiwa na meno kama ya fisi yaani unakula tu mifupa kwa mrija.

Tena usilogwe ukawapeleka magetoni tena karoom kako kawe kasafi utagandwa mpaka uimbe haleluyaaah.
Sio wote Kuna dem nlimfukuzia miez mitatu kagoma mpka akaon aniambie ety nanilii yke imeziba hawez kufany sex kwahyo najisumbua kumfata
 
Mi miaka mitatu mizima mpaka tunakaribia kugiradyueti ndo akanionea huruma akanipa kwa masharti kuwa nisimsumbue tena wala kumfuatilia. Ajabu sasa nilipiga shoo mbovu sijawahi ona mpaka akaniuliza: miaka mitatu mizima unanihangaisha na mambo menyewe ndo haya?

J popote ulipo, sitakaa nikusahau dadeki [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji28] Ngoshaaaa!
 
Mi miaka mitatu mizima mpaka tunakaribia kugiradyueti ndo akanionea huruma akanipa kwa masharti kuwa nisimsumbue tena wala kumfuatilia. Ajabu sasa nilipiga shoo mbovu sijawahi ona mpaka akaniuliza: miaka mitatu mizima unanihangaisha na mambo menyewe ndo haya?

J popote ulipo, sitakaa nikusahau dadeki [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bhageshi!!
 
Sio wote Kuna dem nlimfukuzia miez mitatu kagoma mpka akaon aniambie ety nanilii yke imeziba hawez kufany sex kwahyo najisumbua kumfata

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyo alikunyima tu aseh
 
Inategemea hata uswahilini wapo kibao nafikiri ni kutokana na hali ngumu ya maisha, Mungu atusaidie.
 
Back
Top Bottom