Je, ni muda wa Makonda kuishi kana ilvyowahi kuelezwa na Hayati Magufuli?

Je, ni muda wa Makonda kuishi kana ilvyowahi kuelezwa na Hayati Magufuli?

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Nakumbuka hayati raisi John Pombe Magufuli aliwahi kusema kuna watumishi/viongozi waliokua wanaponda starehe kula bata waliokua wanaishi kama malaika wataishi kama mashetani kwenye awamu yake.

Baada ya kifo chake awamu hii ya sita naona kijana wake akiishi kama shetani kujifichaficha/kulalamika/kutengwa/kutia huruma.

Nawatakia maandalizi mema ya Pasaka wana jukwaaa!!
 
Hakuna marefu yasiokua na ncha.
Dunia inazunguka hata haya anayopitia leo pia anaweza akayasahau na akaishi maisha bora zaidi kuliko yaliyopita au kinyume chake pia.
Makonda awe shule kwa viongozi wote

Mungu hatuwezi kumtabiria lile ambalo atatenda hata baadae
 
Nakumbuka hayati raisi John Pombe Magufuli aliwahi kusema kuna watumishi/viongozi waliokua wanaponda starehe kula bata waliokua wanaishi kama malaika wataishi kama mashetani kwenye awamu yake.

Baada ya kifo chake awamu hii ya sita naona kijana wake akiishi kama shetani kujifichaficha/kulalamika/kutengwa/kutia huruma.

Nawatakia maandalizi mema ya Pasaka wana jukwaaa!!
Hajakamatwa tu mtu huyu?!! Haraka….
 
Back
Top Bottom