Brodre
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,585
- 1,771
Mwaka 1941 wakati wa vita ya pili ya dunia tuliona wapolish wengi walikimbili Africa kama wakimbizi na tuliwapokea kwa mikono miwili.
Janga la corona tumeona Waafrica wanavochukuliwa.
Sasa hii imetokea mpakani mwa Poland waafrica wanazuiwa kuvuka mpaka kuingia poland kutoka Ukraine wakati wa vita wakati sisi tuliwapokea he hii ni sahii?
Viongozi wetu wanafany nini? Mbona sioni AU waki laani hiki au mbona huoni western media wakipost kwenye magazeti yao?
Polish exiles during World War II - Poland in Tanzania - Gov.pl website
Janga la corona tumeona Waafrica wanavochukuliwa.
Sasa hii imetokea mpakani mwa Poland waafrica wanazuiwa kuvuka mpaka kuingia poland kutoka Ukraine wakati wa vita wakati sisi tuliwapokea he hii ni sahii?
Viongozi wetu wanafany nini? Mbona sioni AU waki laani hiki au mbona huoni western media wakipost kwenye magazeti yao?
Polish exiles during World War II - Poland in Tanzania - Gov.pl website