Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Kwanza kabisa siungi mkono utaratibu wa kukatana kwa kusafirisha mzigo ni utaratibu mgumu sana.
Huu ni mkopo pia lakini usioeleweka kabisa, maana marejesho ni kukatana kwenye mizigo utafikiria biashara ya michele kule Mbeya.
Bora serikali ichukue mkopo kutoka kwake wawe na time frame ya kulipa kama mikopo mingineyo ya SGR, kisha huyo jamaa naye awe analipa gharama za usafirishaji kama wengine.
Kinyume na hapo kuna utapeli mkubwa sana unaenda kutokea kwenye eneo la usafirishaji mzigo, maana yeye anaenda kutumia miundombinu yote ya SGR kupitishia mizigo yake kwenye treni zetu.
Unaweza kukuta TRC inasafirisha mizigo, kila mizigo inasingiziwa yake. Je, hakuna harufu ya utapeli wa kimataifa?
Habari ya serikali kuchukua mkopo kienyeji kienyeji na kisha kukatana kwenye usafirishaji imetoka wapi?
Utaratibu wa wauza mazao wakileta mizigo kwa mafuso ndio serikali inataka kutumia kwenye SGR na treni zetu mpya ambazo zote ni za mkopo?
Awepo mwamba mmoja binafsi atatumia bure kwa kivuli cha kujenga kipande kidogo eti tunakata kidogo kidogo.
Kinachotakiwa serikali ichukue mkopo kokote kisha ijenge na marejesho yawe ya mikopo, siyo kukatana kwenye matumizi ya SGR na treni zote anakuwa anasafirisha mizigo kwa kukatana. Badala ya kukatana ni vizuri tulipe mkopo kwa utaratibu unaoeleweka rasmi.
ushauri wangu;
Utaratibu huu haufai, bora serikali ichukue mkopo kwake kisha iwe inamlipa yeye na yeye akitumia reli alipe kama wengineo. Kinyume na hapo kuna utapeli mkubwa sana unaenda kutokea.
Huu ni mkopo pia lakini usioeleweka kabisa, maana marejesho ni kukatana kwenye mizigo utafikiria biashara ya michele kule Mbeya.
Bora serikali ichukue mkopo kutoka kwake wawe na time frame ya kulipa kama mikopo mingineyo ya SGR, kisha huyo jamaa naye awe analipa gharama za usafirishaji kama wengine.
Kinyume na hapo kuna utapeli mkubwa sana unaenda kutokea kwenye eneo la usafirishaji mzigo, maana yeye anaenda kutumia miundombinu yote ya SGR kupitishia mizigo yake kwenye treni zetu.
Unaweza kukuta TRC inasafirisha mizigo, kila mizigo inasingiziwa yake. Je, hakuna harufu ya utapeli wa kimataifa?
Habari ya serikali kuchukua mkopo kienyeji kienyeji na kisha kukatana kwenye usafirishaji imetoka wapi?
Utaratibu wa wauza mazao wakileta mizigo kwa mafuso ndio serikali inataka kutumia kwenye SGR na treni zetu mpya ambazo zote ni za mkopo?
Awepo mwamba mmoja binafsi atatumia bure kwa kivuli cha kujenga kipande kidogo eti tunakata kidogo kidogo.
Kinachotakiwa serikali ichukue mkopo kokote kisha ijenge na marejesho yawe ya mikopo, siyo kukatana kwenye matumizi ya SGR na treni zote anakuwa anasafirisha mizigo kwa kukatana. Badala ya kukatana ni vizuri tulipe mkopo kwa utaratibu unaoeleweka rasmi.
ushauri wangu;
Utaratibu huu haufai, bora serikali ichukue mkopo kwake kisha iwe inamlipa yeye na yeye akitumia reli alipe kama wengineo. Kinyume na hapo kuna utapeli mkubwa sana unaenda kutokea.