Je, ni nani kati ya hawa 10 anasifa za ziada za kuwa Mrithi wa Rais Samia atakapomaliza kipindi chake?

Je, ni nani kati ya hawa 10 anasifa za ziada za kuwa Mrithi wa Rais Samia atakapomaliza kipindi chake?

Je, ni nani kati ya hawa 10 ana sifa za kuwa mrithi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan?

  • 1. Dkt Mwigulu Lameck Nchemba

    Votes: 4 2.5%
  • 2. Dkt Emmanuel Nchimbi

    Votes: 4 2.5%
  • 3. Majaliwa Khasimu Majaliwa

    Votes: 11 6.9%
  • 4. Dkt Hussein Ally Mwinyi

    Votes: 15 9.4%
  • 5. Dkt Tulia Ackson Mwansasú

    Votes: 5 3.1%
  • 6. Dkt Dotto Mashaka Biteko

    Votes: 9 5.7%
  • 7. David Zacharia Kafulila

    Votes: 48 30.2%
  • 8. Paul Christian Makonda

    Votes: 28 17.6%
  • 9. January Yusuph Makamba

    Votes: 6 3.8%
  • 10. Tundu Antipus Lissu

    Votes: 29 18.2%

  • Total voters
    159
  • Poll closed .

Yes To Yes

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2024
Posts
208
Reaction score
157
Bila kujali misimamo yetu ya kisiasa, kidini, kirangi wala ya kikabila tuliyonayo na tunayoiishi

Kwa pamoja leo tuvisaidie vyama vya siasa na vyombo mbalimbali vya maamuzi kupendekeza ni nani hasa Taifa hili linamuhitaji baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumaliza vipindi vyake.

Leo kwa upekee ninaweka orodha ya wanasiasa/Viongozi 10 ambao wanatajwa tajwa sana huku mitaani na hapa Jamii forum kwa nyakati tofauti tofauti.

Sababu za kutajwa kwao wanazijua wanao wataja ila leo nataka tupige kura kwa Uaminifu kabisa huku tukifahamu kura hizi ni reflection za yatakayotokea hapo baadae.

Jukwaa letu hili ni jukwaa lililosheheni watu weledi na wenye maarifa mapana sana hivyo kura zao ni ràmani na njia sahihi ya tunakoelekea.

**************************************
Jinsi ya Kupiga kura yako,

1. Weka tiki kwenye jina unalolifurahia √

2. Shuka chini kisha ponyeza sehemu imeandikwa "Cast vote"

****************************************​
 
Je, ni nani kati ya hawa 10 ana sifa za kuwa mrithi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan?
  • 1 Dkt Mwigulu Lameck Nchemba
  • 2. Dkt Emmanuel Nchimbi
  • 3. Majaliwa Khasimu Majaliwa
  • 4. Dkt Hussein Ally Mwinyi
  • 5. Dkt Tulia Ackson Mwansasú
  • 6. Dkt Dotto Mashaka Biteko
  • 7. David Zacharia Kafulila
  • 8. Paul Christian Makonda
  • 9. January Yusuph Makamba
  • 10. Tundu Antipus Lissu

Bila kujali misimamo yetu kisiasa, kidini, kirangi leo tuvisaidie vyama vya siasa na vyombo mbalimbali vya maamuzi kupendekeza ni nani hasa Taifa hili linamuhitaji baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumaliza vipindi vyake.

Leo kwa upekee nitaweke orodha ya wanasiasa/Viongozi 10 ambao wanatajwa tajwa sana hasa mitaani na hapa Jamii forum.

Sababu za kutajwa kwao wanazijua wanaowataja ila leo nataka tupige kura kwa Uaminifu kabisa huku tukifahamu kura hizi ni reflection ya yatakayotokea hapo baadae.

Jukwaa letu hili ni jukwaa lililosheheni watu weledi na wenye maarifa mapana sana hivyo kura zao ni ràmani ya tunakoelekea.

Baada ya kupiga kura Kampeni zinaruhusiwa ili mtu wako aweze kupata kura nyingi zaidi ya wengine hasa kwa kutaja Sifa zake zinazokufanya wewe na wengine mumchague.

Kura hii ni ya Siri.

******************************************
JINSI YA KUPIGA KURA,

1. ✓ WEKA TIKI KWENYE JINA UNALOLIAMINI KWA SABABU ZAKO

2. BONYEZA SEHEMU IMEANDIKWA "Cast Vote " IPO KWA CHINI.
******************************************
Hamna hata mmoja
 
Kwan lazima wawe kwenye hiyo mifumo ya siasa? Hakuna sura mpya? Ndiomaana maendeleo hatuna sababu ya kuongozwa na wale wale, wenye maono yale yale ya kijambazi na kujiona wao tu ndio wanaostahili kuongoza hili taifa
 
Bila kujali misimamo yetu kisiasa, kidini, kirangi leo tuvisaidie vyama vya siasa na vyombo mbalimbali vya maamuzi kupendekeza ni nani hasa Taifa hili linamuhitaji baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumaliza vipindi vyake.

Leo kwa upekee nitaweke orodha ya wanasiasa/Viongozi 10 ambao wanatajwa tajwa sana hasa mitaani na hapa Jamii forum.

Sababu za kutajwa kwao wanazijua wanaowataja ila leo nataka tupige kura kwa Uaminifu kabisa huku tukifahamu kura hizi ni reflection ya yatakayotokea hapo baadae.

Jukwaa letu hili ni jukwaa lililosheheni watu weledi na wenye maarifa mapana sana hivyo kura zao ni ràmani ya tunakoelekea.

Jinsi ya Kupiga kura yako,

1. Weka tiki kwenye jina unalolifurahia √

2. Shuka chini ponyeza sehemu imeandikwa "Cast vote"

Kura ni Siri,
Mbowe mbona hayupo?
 
Kwan lazima wawe kwenye hiyo mifumo ya siasa? Hakuna sura mpya? Ndiomaana maendeleo hatuna sababu ya kuongozwa na wale wale, wenye maono yale yale ya kijambazi na kujiona wao tu ndio wanaostahili kuongoza hili taifa
Kafulila sio mwanasiasa mbona yupo kwenye list?

Pigakura
 
Kwan lazima wawe kwenye hiyo mifumo ya siasa? Hakuna sura mpya? Ndiomaana maendeleo hatuna sababu ya kuongozwa na wale wale, wenye maono yale yale ya kijambazi na kujiona wao tu ndio wanaostahili kuongoza hili taifa
Sasa boss hata ukiambiwa toa pendekezo nje ya mfumo wa siasa unamuweka nani? Yupo tayari? Mfumo wa nchi unaruhusu?
 
Back
Top Bottom