Je, ni nani kati ya hawa 10 anasifa za ziada za kuwa Mrithi wa Rais Samia atakapomaliza kipindi chake?

Je, ni nani kati ya hawa 10 anasifa za ziada za kuwa Mrithi wa Rais Samia atakapomaliza kipindi chake?

Je, ni nani kati ya hawa 10 ana sifa za kuwa mrithi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan?

  • 1. Dkt Mwigulu Lameck Nchemba

    Votes: 4 2.5%
  • 2. Dkt Emmanuel Nchimbi

    Votes: 4 2.5%
  • 3. Majaliwa Khasimu Majaliwa

    Votes: 11 6.9%
  • 4. Dkt Hussein Ally Mwinyi

    Votes: 15 9.4%
  • 5. Dkt Tulia Ackson Mwansasú

    Votes: 5 3.1%
  • 6. Dkt Dotto Mashaka Biteko

    Votes: 9 5.7%
  • 7. David Zacharia Kafulila

    Votes: 48 30.2%
  • 8. Paul Christian Makonda

    Votes: 28 17.6%
  • 9. January Yusuph Makamba

    Votes: 6 3.8%
  • 10. Tundu Antipus Lissu

    Votes: 29 18.2%

  • Total voters
    159
  • Poll closed .
Bila kujali misimamo yetu kisiasa, kidini, kirangi leo tuvisaidie vyama vya siasa na vyombo mbalimbali vya maamuzi kupendekeza ni nani hasa Taifa hili linamuhitaji baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumaliza vipindi vyake.

Leo kwa upekee nitaweke orodha ya wanasiasa/Viongozi 10 ambao wanatajwa tajwa sana hasa mitaani na hapa Jamii forum.

Sababu za kutajwa kwao wanazijua wanaowataja ila leo nataka tupige kura kwa Uaminifu kabisa huku tukifahamu kura hizi ni reflection ya yatakayotokea hapo baadae.

Jukwaa letu hili ni jukwaa lililosheheni watu weledi na wenye maarifa mapana sana hivyo kura zao ni ràmani ya tunakoelekea.

Jinsi ya Kupiga kura yako,

1. Weka tiki kwenye jina unalolifurahia √

2. Shuka chini ponyeza sehemu imeandikwa "Cast vote"

Kura ni Siri,
Poll Kali sana hii,hapa Rais lazima atoke
 
Siku zote wa Mwisho ndio atakayekuwa wa Kwanza.
Ndio neno nililolipata.
Maana yake siijui msiniulize, nimeleta kama nilivyopokea.
 
Hapa TZ n nan aliwahi kuongoza nchi akiwa sio mwanasiasa?
Being a leader
Being a politician

Africa tuna wanasiasa na sio viongozi

Mfano the late jpm the guy was a leader that is way he never spent his life to entertain , Sh** like corruption , miss use of national fund.

So you can be politician but being a leader is not easy .


Miaka 60 ya Uhuru Ila tulipata kiongozi mmoja tu and you see the impacts.
 
Kwan lazima wawe kwenye hiyo mifumo ya siasa? Hakuna sura mpya? Ndiomaana maendeleo hatuna sababu ya kuongozwa na wale wale, wenye maono yale yale ya kijambazi na kujiona wao tu ndio wanaostahili kuongoza hili taifa
Sasa Mwigulu umpe urais? Kwanza anajua protocol ya Queen Elizabeth na Vatican? Tuache utani Hawa ni wale wale TU!
 
Being a leader
Being a politician

Africa tuna wanasiasa na sio viongozi

Mfano the late jpm the guy was a leader that is way he never spent his life to entertain , Sh** like corruption , miss use of national fund.

So you can be politician but being a leader is not easy .


Miaka 60 ya Uhuru Ila tulipata kiongozi mmoja tu and you see the impacts.
Acha madharau ndg yangu
 
Bila kujali misimamo yetu kisiasa, kidini, kirangi leo tuvisaidie vyama vya siasa na vyombo mbalimbali vya maamuzi kupendekeza ni nani hasa Taifa hili linamuhitaji baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumaliza vipindi vyake.

Leo kwa upekee nitaweke orodha ya wanasiasa/Viongozi 10 ambao wanatajwa tajwa sana hasa mitaani na hapa Jamii forum.

Sababu za kutajwa kwao wanazijua wanaowataja ila leo nataka tupige kura kwa Uaminifu kabisa huku tukifahamu kura hizi ni reflection ya yatakayotokea hapo baadae.

Jukwaa letu hili ni jukwaa lililosheheni watu weledi na wenye maarifa mapana sana hivyo kura zao ni ràmani ya tunakoelekea.

**************************************
Jinsi ya Kupiga kura yako,

1. Weka tiki kwenye jina unalolifurahia √

2. Shuka chini kisha ponyeza sehemu imeandikwa "Cast vote"

****************************************
Safi sana Jamii forum,
Mambo kama haya yako kwenye level za Mtaa,
Kila sehemu ni POLL
 
Hao mmetumia vigezo gani kuwapata mpaka kuhisi wanafaa kuingia ndani ya jumba jeupe?

Nitafurahi mtu akinisaidia ila kuna groups tatu za watu kwa mujibu wa taarifa yako.

1. Politicians.... Psychological Manipulators
2. Leader.... Wanao hold position na power tu
3. Those who lead.... Hawa wana influence na kuinspire and mostly ndio wanahitajika.
 
Hao mmetumia vigezo gani kuwapata mpaka kuhisi wanafaa kuingia ndani ya jumba jeupe?

Nitafurahi mtu akinisaidia ila kuna groups tatu za watu kwa mujibu wa taarifa yako.

1. Politicians.... Psychological Manipulators
2. Leader.... Wanao hold position na power tu
3. Those who lead.... Hawa wana influence na kuinspire and mostly ndio wanahitajika.
Siumesikía sababu ni kutajwa tajwa na sababu za wanaowataja wanazijua wao wenyewe wanao wataja
 
Hao mmetumia vigezo gani kuwapata mpaka kuhisi wanafaa kuingia ndani ya jumba jeupe?

Nitafurahi mtu akinisaidia ila kuna groups tatu za watu kwa mujibu wa taarifa yako.

1. Politicians.... Psychological Manipulators
2. Leader.... Wanao hold position na power tu
3. Those who lead.... Hawa wana influence na kuinspire and mostly ndio wanahitajika.
Anyone can be a politician, anyone can be a leader but not everyone can lead.
 
Siumesikía sababu ni kutajwa tajwa na sababu za wanaowataja wanazijua wao wenyewe wanao wataja
Mbona ni hatari sana mkuu kama tutakuwa tunawapitisha ama kuwachagua watu kwa sababu tu ya kutajwa tajwa sana.

Nadhani tungechukua system ya China tu.
 
Back
Top Bottom